Simba SC wapewe maua yao

Simba SC wapewe maua yao

prince john john

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2016
Posts
2,184
Reaction score
3,369
1. Sina cha kuwalaumu Simba katika mazingira yale kwenda kwenye hatua ya upigaji wa mikwaju ya penati sio kazi ndogo. Well done Simba. Wapewe maua yao

2. Simba inahitaji marekebisho ya kiusajili. Wanapokwenda kusajili kwa Msimu Ujao waache kutafuta Yanga inataka kumsajili nani wamuaharibie bali wasikilize Matakwa ya Kocha anataka nini. Kwa dakika 90 Simba imeogopa kabisa kufanga Sub maana kwenye bench kulikuwa hakuna mchezaji mwenye quality ya waliokuwa ndani. Kwa timu kubwa kama Simba ni kosa kubwa kutokuwa na wachezaji wanaobaki nje wanaoweza kuamua kuubadilisha mchezo na kuumaliza kabisa.

3. Golikipa wa Simba Salum sio mbaya ila anakosa uzoefu. Penalt Zote kafungwa eneo Moja la upande wake wa Kulia. Naamini kwa Golikipa kama Manula kwa Uzoefu wake asingekosa hapo mbili. All in all hatuwezi mlaumu ni game kubwa sana kwake. Wapewe maua yao

4. Kwetu sisi Watanzania tunafundishwa namna ya kushangilia tuwapo uwanjani. Wenzetu wakiingia uwanjani wanaenda kufanya kazi sio kutongozana. Tukifikia hapo kwa mkapa mtu kula tatu itakuwa sio ajabu.

5. Africa inakumbushwa kuwa kuna taifa linakua kisoka ambalo ni Tanzania. Wengi walitarajia Simba angepigwa zaidi ya tano ila wamewazuia Whydad hadi Mashabiki wakapona ukichaa wao. Simba wapewe maua yao

6. Kwa Tunaofuatilia Soka tunaona Simba inasogea. Kabla ya Simba kufika Robo Fainal ilikuwa ikitolewa kwenye mtoano baadaye wakaweka malengo lazima tuende makundi, wakafanikiwa kwa kupambana baadaye lazima twende Robo na wamefika si mara Moja sasa naiona kiu na Tamaa yao kufika Nusu. Maendelee ni Process naamini hii kiu ya Nusu fainal watafika siku sio nyingi.

7. Bado marefa wetu wanaongozwa na pressure ya Timu mwenyeji. Isingekuwa Refa kuwavuruga Simba Kisaikolojia kipindi cha Kwanza pale Casablanca mabomu yangepigwa usiku huu. Refa kaonyesha udhaifu mkubwa sana wa kutoimudu Game.

8. Milioni 30 za Mama zinatosha kufanya kikao cha Tathimini pale Msimbazi kuhusu hatua waliyofikia.... Wapewe maua yao

9. Kocha mnaye, msimfukuze hata akikosa vikombe vyote kwa kikosi hiki cha Simba Kocha anajitutumua haswa kupata matokeo. Apewe maua yake

10. Tuwape maua yao wametoka ila wametoka kiume….Sina cha kuwadai.
 
1. Sina cha kuwalaumu Simba katika mazingira yale kwenda kwenye hatua ya upigaji wa mikwaju ya penati sio kazi ndogo. Well done Simba…. Wapewe maua yao

2. Simba inahitaji marekebisho ya kiusajili. Wanapokwenda kusajili kwa Msimu Ujao waache kutafuta Yanga inataka kumsajili nani wamuaharibie bali wasikilize Matakwa ya Kocha anataka nini. Kwa dakika 90 Simba imeogopa kabisa kufanga Sub maana kwenye bench kulikuwa hakuna mchezaji mwenye quality ya waliokuwa ndani. Kwa timu kubwa kama Simba ni kosa kubwa kutokuwa na wachezaji wanaobaki nje wanaoweza kuamua kuubadilisha mchezo na kuumaliza kabisa.

3. Golikipa wa Simba Salum sio mbaya ila anakosa uzoefu. Penalt Zote kafungwa eneo Moja la upande wake wa Kulia. Naamini kwa Golikipa kama Manula kwa Uzoefu wake asingekosa hapo mbili. All in all hatuwezi mlaumu ni game kubwa sana kwake…. Wapewe maua yao

4. Kwetu sisi Watanzania tunafundishwa namna ya kushangilia tuwapo uwanjani. Wenzetu wakiingia uwanjani wanaenda kufanya kazi sio kutongozana…. Tukifikia hapo kwa mkapa mtu kula tatu itakuwa sio ajabu.

5. Africa inakumbushwa kuwa kuna taifa linakua kisoka ambalo ni Tanzania. Wengi walitarajia Simba angepigwa zaidi ya tano ila wamewazuia Whydad hadi Mashabiki wakapona ukichaa wao.... Simba wapewe maua yao

6. Kwa Tunaofuatilia Soka tunaona Simba inasogea. Kabla ya Simba kufika Robo Fainal ilikuwa ikitolewa kwenye mtoano baadaye wakaweka malengo lazima tuende makundi, wakafanikiwa kwa kupambana baadaye lazima twende Robo na wamefika si mara Moja sasa naiona kiu na Tamaa yao kufika Nusu. Maendelee ni Process naamini hii kiu ya Nusu fainal watafika siku sio nyingi.

7. Bado marefa wetu wanaongozwa na pressure ya Timu mwenyeji. Isingekuwa Refa kuwavuruga Simba Kisaikolojia kipindi cha Kwanza pale Casablanca mabomu yangepigwa usiku huu. Refa kaonyesha udhaifu mkubwa sana wa kutoimudu Game.

8. Milioni 30 za Mama zinatosha kufanya kikao cha Tathimini pale Msimbazi kuhusu hatua waliyofikia.... Wapewe maua yao

9. Kocha mnaye, msimfukuze hata akikosa vikombe vyote kwa kikosi hiki cha Simba Kocha anajitutumua haswa kupata matokeo... Apewe maua yake

10. Tuwape maua yao wametoka ila wametoka kiume….Sina cha kuwadai.
3. Golikipa wa Simba Salum sio mbaya ila anakosa uzoefu. Penalt Zote kafungwa eneo Moja la upande wake wa Kulia. Naamini kwa Golikipa kama Manula kwa Uzoefu wake asingekosa hapo mbili. All in all hatuwezi mlaumu ni game kubwa sana kwake…. Wapewe maua yao


Naunga mkono hoja 🔥
 
1. Kuna USHENZI Huwa anafanya Mo wa kupoteza wachezaji wazuri kama KAKOLANYA IMENIUMA MNO.

2. UBAHIRI WA MWAMEDI UNATUPONZA PIA NA SCAUTING YA WACHEZAJI.
KULETA WACHEZAJI WENYE WUALITY NDOGO.

3. UZEMBE MKUBWA KWENYE USAJILI WA WACHEZAJI.

I. Okrah.

II. Sawadogo.

III. Banda ( NO 9)

IV. Sackho.. atupishe.

V. Kanute atafutiwe mbadala.

VI. Ottara.

SIMBA INA UHITAJI WA WACHEZAJI SABA WA KIMATAIFA NDIO IVUKE HAPO. HELA WANAZO HADI HAPO WAMEPATA BILIONI 1 NA MILIONI 500.
SUPER CUP WANA BILIONI 4.
TUSAJILI WACHEZAJI TUEPUKE UBAHILI
 
1. Sina cha kuwalaumu Simba katika mazingira yale kwenda kwenye hatua ya upigaji wa mikwaju ya penati sio kazi ndogo. Well done Simba…. Wapewe maua yao

2. Simba inahitaji marekebisho ya kiusajili. Wanapokwenda kusajili kwa Msimu Ujao waache kutafuta Yanga inataka kumsajili nani wamuaharibie bali wasikilize Matakwa ya Kocha anataka nini. Kwa dakika 90 Simba imeogopa kabisa kufanga Sub maana kwenye bench kulikuwa hakuna mchezaji mwenye quality ya waliokuwa ndani. Kwa timu kubwa kama Simba ni kosa kubwa kutokuwa na wachezaji wanaobaki nje wanaoweza kuamua kuubadilisha mchezo na kuumaliza kabisa.

3. Golikipa wa Simba Salum sio mbaya ila anakosa uzoefu. Penalt Zote kafungwa eneo Moja la upande wake wa Kulia. Naamini kwa Golikipa kama Manula kwa Uzoefu wake asingekosa hapo mbili. All in all hatuwezi mlaumu ni game kubwa sana kwake…. Wapewe maua yao

4. Kwetu sisi Watanzania tunafundishwa namna ya kushangilia tuwapo uwanjani. Wenzetu wakiingia uwanjani wanaenda kufanya kazi sio kutongozana…. Tukifikia hapo kwa mkapa mtu kula tatu itakuwa sio ajabu.

5. Africa inakumbushwa kuwa kuna taifa linakua kisoka ambalo ni Tanzania. Wengi walitarajia Simba angepigwa zaidi ya tano ila wamewazuia Whydad hadi Mashabiki wakapona ukichaa wao.... Simba wapewe maua yao

6. Kwa Tunaofuatilia Soka tunaona Simba inasogea. Kabla ya Simba kufika Robo Fainal ilikuwa ikitolewa kwenye mtoano baadaye wakaweka malengo lazima tuende makundi, wakafanikiwa kwa kupambana baadaye lazima twende Robo na wamefika si mara Moja sasa naiona kiu na Tamaa yao kufika Nusu. Maendelee ni Process naamini hii kiu ya Nusu fainal watafika siku sio nyingi.

7. Bado marefa wetu wanaongozwa na pressure ya Timu mwenyeji. Isingekuwa Refa kuwavuruga Simba Kisaikolojia kipindi cha Kwanza pale Casablanca mabomu yangepigwa usiku huu. Refa kaonyesha udhaifu mkubwa sana wa kutoimudu Game.

8. Milioni 30 za Mama zinatosha kufanya kikao cha Tathimini pale Msimbazi kuhusu hatua waliyofikia.... Wapewe maua yao

9. Kocha mnaye, msimfukuze hata akikosa vikombe vyote kwa kikosi hiki cha Simba Kocha anajitutumua haswa kupata matokeo... Apewe maua yake

10. Tuwape maua yao wametoka ila wametoka kiume….Sina cha kuwadai.
Wamepewa kifiro halafu wapewe maua
 
Poleni sana...
Wapewe Maua Yao Morocco ligi Yao ni ligi no 1 Kwa ubora Africa WC ni timu no 2 Kwa ubora Africa,pia bingwa mtetezi wa hilo kombe na la nyongeza wamo wachezaji waliowaliza Mataifa makubwa kwenye World cup kombe ambalo Taifa lako halitokuja kushriki mpaka mwisho wa Dunia.Kwa ufupi tu game ya Jana sawa na Marekani,Urusi na China kupigana vita na Tanzania Alafu tukadroo Kwa ground Imean wakakimbilia meza ya mazungumzo huku Tanzania tukiwapa masharti.Simba wapewe Maua Yao 💐. NB:Game ya Jana ni game iliyoangaliwa iliyofuatiliwa na maelfu ya watu ndani na nje ya Bara la Africa Toka mashindano yaanze.Hata hapa Nyumbani mashabiki wa Yanga walianzisha thread zaidi ya tano Kwa wakati mmoja jambo lililoonyesha walikuwa wako karibu na klabu ya Simba Kuliko Wana Lunyasi wenyewe.
 
1. Sina cha kuwalaumu Simba katika mazingira yale kwenda kwenye hatua ya upigaji wa mikwaju ya penati sio kazi ndogo. Well done Simba…. Wapewe maua yao

2. Simba inahitaji marekebisho ya kiusajili. Wanapokwenda kusajili kwa Msimu Ujao waache kutafuta Yanga inataka kumsajili nani wamuaharibie bali wasikilize Matakwa ya Kocha anataka nini. Kwa dakika 90 Simba imeogopa kabisa kufanga Sub maana kwenye bench kulikuwa hakuna mchezaji mwenye quality ya waliokuwa ndani. Kwa timu kubwa kama Simba ni kosa kubwa kutokuwa na wachezaji wanaobaki nje wanaoweza kuamua kuubadilisha mchezo na kuumaliza kabisa.

3. Golikipa wa Simba Salum sio mbaya ila anakosa uzoefu. Penalt Zote kafungwa eneo Moja la upande wake wa Kulia. Naamini kwa Golikipa kama Manula kwa Uzoefu wake asingekosa hapo mbili. All in all hatuwezi mlaumu ni game kubwa sana kwake…. Wapewe maua yao

4. Kwetu sisi Watanzania tunafundishwa namna ya kushangilia tuwapo uwanjani. Wenzetu wakiingia uwanjani wanaenda kufanya kazi sio kutongozana…. Tukifikia hapo kwa mkapa mtu kula tatu itakuwa sio ajabu.

5. Africa inakumbushwa kuwa kuna taifa linakua kisoka ambalo ni Tanzania. Wengi walitarajia Simba angepigwa zaidi ya tano ila wamewazuia Whydad hadi Mashabiki wakapona ukichaa wao.... Simba wapewe maua yao

6. Kwa Tunaofuatilia Soka tunaona Simba inasogea. Kabla ya Simba kufika Robo Fainal ilikuwa ikitolewa kwenye mtoano baadaye wakaweka malengo lazima tuende makundi, wakafanikiwa kwa kupambana baadaye lazima twende Robo na wamefika si mara Moja sasa naiona kiu na Tamaa yao kufika Nusu. Maendelee ni Process naamini hii kiu ya Nusu fainal watafika siku sio nyingi.

7. Bado marefa wetu wanaongozwa na pressure ya Timu mwenyeji. Isingekuwa Refa kuwavuruga Simba Kisaikolojia kipindi cha Kwanza pale Casablanca mabomu yangepigwa usiku huu. Refa kaonyesha udhaifu mkubwa sana wa kutoimudu Game.

8. Milioni 30 za Mama zinatosha kufanya kikao cha Tathimini pale Msimbazi kuhusu hatua waliyofikia.... Wapewe maua yao

9. Kocha mnaye, msimfukuze hata akikosa vikombe vyote kwa kikosi hiki cha Simba Kocha anajitutumua haswa kupata matokeo... Apewe maua yake

10. Tuwape maua yao wametoka ila wametoka kiume….Sina cha kuwadai.
Kufa ni kufa tu akuna cha kufa kiume, mara tatu unaishia hapo hapo ina maana akuna ulichojifunza ata kimoja kwa miaka yote na ilo ndio kombe lenu
 
Mwaka wa nne wanaishia robo fainal na miaka miwili mfululizo wanatolewa kwa mikwaju ya penalty…
Maua tuwape nyuki watengeneze asali
 
Bado marefa wetu wanaongozwa na pressure ya Timu mwenyeji. Isingekuwa Refa kuwavuruga Simba Kisaikolojia kipindi cha Kwanza pale Casablanca mabomu yangepigwa usiku huu. Refa kaonyesha udhaifu mkubwa sana wa kutoimudu Game.


Watu hawalioni hili,refa kila alipogusa mpira Baleke ni faulo hahahaaaaa inashangaza sn.Ile ni mbinu ya kumlinda mwenyewe asipate madhara huku akiendelea kushambulia.

Africa soka bado sanaaaa
 
Labda namba 9 ndio umeongea kwa usahihi ila zingine ni kujaribu kupapasa matako ya wanasimba ili watulie
Team ilikuwa na Kila sababu za kwenda nusu final kuanzia game one haiwezekani game one mnaisoma team unaona ni dhaifu unashindwa kuachia booster angalau upate goli mbili unabaki na wimbo wa ligi namba Moja mara bingwa mtetezi mara team namba mbili
Kwani kunatofauti gani kati ya namba Moja na namba 8 au ligi namba Moja na namba 5/9 ni Yale Yale Simba alipaswa kushinda Wydad hii sio Ile iliyomfunga Al Alhly kwa figisu
 
1. Kuna USHENZI Huwa anafanya Mo wa kupoteza wachezaji wazuri kama KAKOLANYA IMENIUMA MNO.

2. UBAHIRI WA MWAMEDI UNATUPONZA PIA NA SCAUTING YA WACHEZAJI.
KULETA WACHEZAJI WENYE WUALITY NDOGO.

3. UZEMBE MKUBWA KWENYE USAJILI WA WACHEZAJI.

I. Okrah.

II. Sawadogo.

III. Banda ( NO 9)

IV. Sackho.. atupishe.

V. Kanute atafutiwe mbadala.

VI. Ottara.

SIMBA INA UHITAJI WA WACHEZAJI SABA WA KIMATAIFA NDIO IVUKE HAPO. HELA WANAZO HADI HAPO WAMEPATA BILIONI 1 NA MILIONI 500.
SUPER CUP WANA BILIONI 4.
TUSAJILI WACHEZAJI TUEPUKE UBAHILI
Hao wachezaji ulowataja ulifstilia viwango vyao walikotoka? Woote walikuwa waliperform vizuri tu kwenye ligi walizotoka. Usajiri kubuma una mambo mengi nadhani wewe unajua. Ila pia naunga mkono hoja Mo ni bahiri hususani kwenye ile ishu ya manzoki.
 
Umezidiwa possession 66 Kwa 34, huna shot on target [emoji457] hata moja, unasema umekufa kiume, tuache kujifariji kwenye mambo ya kijinga, tuache siasa, tufanye usaji wa maana tuende mbele... Full stop
 
Simba kutolewa na Mwarabu, lilikuwa ni jambo lililo tarajiwa. Kwa sasa akili zote tunaziekekeza Jumapili.
 
Back
Top Bottom