Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Yaani uzi unauanzisha mwenyewe halafu unajicopy kwa kuandika cc kwako mwenyewe? Au pengine hauelewi maana ya cc ? 😂😂😂Yanga bhana, kumbe hata darasani mko weupe!Nawasilisha.
Cc: Kichwa Kichafu
Hivi unadhani Simba inahitaji ushauri wako? Mbona unapoteza muda tu!Sawa mtani ila kama mnataka kutoka na point sifuri mkijisahau hapo kwa As Vita basi tena.
Waulize hao Al Ahly wakuambie kati ya Mwamedi Fc na Yanga wanamuogopa nani!Kwani yanga atacheza al ahly tarehe ngapi
Hebu ingia google angalia vipigo ulivyoshushiwa na al ahlyWaulize hao Al Ahly wakuambie kati ya Mwamedi Fc na Yanga wanamuogopa nani!
Miaka michache iliyopita, waliokolewa na Said Bahanuzi baada tu ya kukosa mkwaju wa penati ya mwisho ya kumaliza mchezo!
Kwamba utopolo inaogopwa? Ama kweli wewe ni utoplo.Waulize hao Al Ahly wakuambie kati ya Mwamedi Fc na Yanga wanamuogopa nani!
Miaka michache iliyopita, waliokolewa na Said Bahanuzi baada tu ya kukosa mkwaju wa penati ya mwisho ya kumaliza mchezo!
Yaani timu ya 67 kwa ubora Afrika iogopwe kuliko iliyo nafasi ya 13? Timu inayohangaika kutambulika?! Timu inayolazimisha furaha! Utopolo mlishindwa, ila mnyama aliinyamazisha Cairo 2003, hadi leo hakuna bwege yeyote aliyejaribu, na siyo timu kutoka Tanzania tu, bali Afrika kwa ujumla.Waulize hao Al Ahly wakuambie kati ya Mwamedi Fc na Yanga wanamuogopa nani!
Miaka michache iliyopita, waliokolewa na Said Bahanuzi baada tu ya kukosa mkwaju wa penati ya mwisho ya kumaliza mchezo!
Tena ka bei poa kanauzia pale KimbokaAliyeleta uzi ni kasichana kamalaya.Kapuuzwe!
Tunazungumzia ya sasa wewe unaleta unyani wa miaka ileeee, hii unaikumbuka au ulikuwa bado mbwinde unawinda vidukwi?Kama Raja alikupapasa hivi je Al Ahly ingekuwaje?Waulize hao Al Ahly wakuambie kati ya Mwamedi Fc na Yanga wanamuogopa nani!
Miaka michache iliyopita, waliokolewa na Said Bahanuzi baada tu ya kukosa mkwaju wa penati ya mwisho ya kumaliza mchezo!
Anajua nini huyo zaidi ya kubweka tu?Hebu ingia google angalia vipigo ulivyoshushiwa na al ahly
Tunaiongelea Al Ahly! Wewe unaleta matokeo ya Raja Casablanca![emoji2960]Tunazungumzia ya sasa wewe unaleta unyani wa miaka ileeee, hii unaikumbuka au ulikuwa bado mbwinde unawinda vidukwi?Kama Raja alikupapasa hivi je Al Ahly ingekuwaje?View attachment 1700384
Leo ndo utamkataa kagereSimba 1-- 0 .As vital
Kagere dakika za lala salama.
Kwamba ni mchezaji wa utopolo au namkataa kvpLeo ndo utamkataa kagere