Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari!
Simba Sc maarufu kwa majina yao ya wamatopeni toka kipindi cha Jerry Muro, na kwa sasa wanatambulika kama Paka Fc/ Mikia.
Hawa jamaa wasiposhinda mechi zao zote mbili kwa As Vita basi hawana mchezo mwingine tena watashinda wala kutoa sare.
Hivyo basi point zao zipo mikoni mwa As Vita kama si hivyo basi mtatoka na point sifuri maana hamna timu nyingine mtaifunga.
Kila la kheri watani katika kukusanya point hizo za As Vita pekee au kutoka na sifuri/sufuri.
Nawasilisha.
Cc: Kichwa Kichafu
Simba Sc maarufu kwa majina yao ya wamatopeni toka kipindi cha Jerry Muro, na kwa sasa wanatambulika kama Paka Fc/ Mikia.
Hawa jamaa wasiposhinda mechi zao zote mbili kwa As Vita basi hawana mchezo mwingine tena watashinda wala kutoa sare.
Hivyo basi point zao zipo mikoni mwa As Vita kama si hivyo basi mtatoka na point sifuri maana hamna timu nyingine mtaifunga.
Kila la kheri watani katika kukusanya point hizo za As Vita pekee au kutoka na sifuri/sufuri.
Nawasilisha.
Cc: Kichwa Kichafu