johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
His name shall survive ,RIP JPM .Viongozi na Wachezaji wote wa Klabu ya Simba wamezuru kaburi la Shujaa Maguful na kuweka mataji ya mauwa na kupiga picha za kumbukumbu
Meneja wa Simba SC mh Rweyemamu ameishukuru familia ya Shujaa Maguful kwa mapokezi mazuri waliyopewa
Source: Star tv
Kumbe timu inatumia usafiri wa Coaster!Viongozi na Wachezaji wote wa Klabu ya Simba wamezuru kaburi la Shujaa Maguful na kuweka mataji ya mauwa na kupiga picha za kumbukumbu
Meneja wa Simba SC mh Rweyemamu ameishukuru familia ya Shujaa Maguful kwa mapokezi mazuri waliyopewa
Source: Star tv
Shujaa alikuwa mwanaSimba. Hapo mimi na yeye tulikuwa tunaenda sawaViongozi na Wachezaji wote wa Klabu ya Simba wamezuru kaburi la Shujaa Maguful na kuweka mataji ya mauwa na kupiga picha za kumbukumbu
Meneja wa Simba SC mh Rweyemamu ameishukuru familia ya Shujaa Maguful kwa mapokezi mazuri waliyopewa
Source: Star tv
Wanajitia gundu la bure tu , halafu siku nyingine ni vema kabla ya jambo kama hili kufanyika wanachama tuhusishwe ili tupige kura .Viongozi na Wachezaji wote wa Klabu ya Simba wamezuru kaburi la Shujaa Maguful na kuweka mataji ya mauwa na kupiga picha za kumbukumbu
Meneja wa Simba SC mh Rweyemamu ameishukuru familia ya Shujaa Maguful kwa mapokezi mazuri waliyopewa
Source: Star tv
Wewe siyo kafir?Wanajitia gundu la bure tu , halafu siku nyingine ni vema kabla ya jambo kama hili kufanyika wanachama tuhusishwe ili tupige kura .
Jiwe si wa kumuombea dua kijinga , alikuwa kiongozi Katiri sana
wewe wasemaWewe siyo kafir?