Simba Sc yafunika vigogo wenzie ugenini

Simba Sc yafunika vigogo wenzie ugenini

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20211018_16073628676.jpg

Kama mechi za round ya kwanza ni timu 3 tu zilizopata matokeo ugenini. Kama hujui nakujuza kwamba timu zilizocheza ugenini ndio timu bora kuliko wenyeji, ndio maana miongoni mwao timu 10 zimeanzia hazikucheza preliminary stage.

Katika timu hizo Simba Sc imefunika zote ikifuatiwa na Raja Casablanca na Zamaleck.

Simba ilitumia dakika 5 tu kumaliza mchezo na kutupia chap chap goli 2, huku Yanga ilicheza dakika zaidi ya 180 hawakupata hata on-target
 
Muwe mnaendelea hivyo hivyo kuleta takwimu na habari za upekee za usimba msiishie njiani kama msimu uliopita.

Mlijisifia kikosi bora cha wiki, mlijisifiia goli bora la wiki, mlijisifia timu bora inayoongoza kwa matokeo ya ujumla.

Mlijisifia timu bora , Lakini mlipofungwa na kaizer chiefs ndio ikawa mwisho wa kujisifia. Na zile rank mlizokuwa mnatoa ikaishia hapo.

Ndio kawaida mashabiki wa timu za maandagraundi kujisifia lakini mashabiki wa timu zinazofikiria makombe hawana huu utoto.
 
Muwe mnaendelea hivyo hivyo kuleta takwimu na habari za upekee za usimba msiishie njiani kama msimu uliopita. Mlijisifia kikosi bora cha wiki, mlijisifiia goli bora la wiki, mlijisifia timu bora inayoongoza kwa matokeo ya ujumla. Mlijisifia timu bora , Lakini mlipofungwa na kaizer chiefs ndio ikawa mwisho wa kujisifia. Na zile rank mlizokuwa mnatoa ikaishia hapo, Ndio kawaida mashabiki wa timu za maandagraundi kujisifia lakini mashabiki wa timu zinazofikiria makombe hawana huu utoto.
Kama utopwinyo hawana kujisifu na zungu wao na wanafikiria makombe ya kahawa
 
Muwe mnaendelea hivyo hivyo kuleta takwimu na habari za upekee za usimba msiishie njiani kama msimu uliopita. Mlijisifia kikosi bora cha wiki, mlijisifiia goli bora la wiki, mlijisifia timu bora inayoongoza kwa matokeo ya ujumla. Mlijisifia timu bora , Lakini mlipofungwa na kaizer chiefs ndio ikawa mwisho wa kujisifia. Na zile rank mlizokuwa mnatoa ikaishia hapo, Ndio kawaida mashabiki wa timu za maandagraundi kujisifia lakini mashabiki wa timu zinazofikiria makombe hawana huu utoto.
Wewe hzo unazodiriki kuziita au kuziona ni chache au hazitodhi kwa timu yako zkowap? NYANI FC/ NGURUWE FC
 
Muwe mnaendelea hivyo hivyo kuleta takwimu na habari za upekee za usimba msiishie njiani kama msimu uliopita. Mlijisifia kikosi bora cha wiki, mlijisifiia goli bora la wiki, mlijisifia timu bora inayoongoza kwa matokeo ya ujumla. Mlijisifia timu bora , Lakini mlipofungwa na kaizer chiefs ndio ikawa mwisho wa kujisifia. Na zile rank mlizokuwa mnatoa ikaishia hapo, Ndio kawaida mashabiki wa timu za maandagraundi kujisifia lakini mashabiki wa timu zinazofikiria makombe hawana huu utoto.

Utopolo mlibebwa mkaaibisha taifa...mkaishiwa kupigwa faini baada ya kudanganywa na msukule namna ya kufanya figisu na mijezi yenu mliyoivisha visit kidimbwi imegeuzwa madekio kilichobaki kwenu ni kutoa mapovu kama ulivyotoa!
 
THE KING OF THE JUNGLE..[emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
 
Ndio kawaida mashabiki wa timu za maandagraundi kujisifia lakini mashabiki wa timu zinazofikiria makombe hawana huu utoto.
Mhm!! bomba cjakuelewa kabisa hapa. kamba simba ni underground then yanga inafikiria makombe..kweliiii
 
Back
Top Bottom