OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Huna akili ndiyo maana hujaelewa kitu hapo,nyani ni nyani tu hata avalishwe suti.Ndiyo nini hiki umeandika, sijawahi ona mshabiki wa hii timu mwenye akili timam
Huelewi nini wewe? Labda huna akili timamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndiyo nini hiki umeandika, sijawahi ona mshabiki wa hii timu mwenye akili timam
Haa TehNdiyo nini hiki umeandika, sijawahi ona mshabiki wa hii timu mwenye akili timam
wewe ndio huna akili timamuNdiyo nini hiki umeandika, sijawahi ona mshabiki wa hii timu mwenye akili timam
Kama utopwinyo hawana kujisifu na zungu wao na wanafikiria makombe ya kahawaMuwe mnaendelea hivyo hivyo kuleta takwimu na habari za upekee za usimba msiishie njiani kama msimu uliopita. Mlijisifia kikosi bora cha wiki, mlijisifiia goli bora la wiki, mlijisifia timu bora inayoongoza kwa matokeo ya ujumla. Mlijisifia timu bora , Lakini mlipofungwa na kaizer chiefs ndio ikawa mwisho wa kujisifia. Na zile rank mlizokuwa mnatoa ikaishia hapo, Ndio kawaida mashabiki wa timu za maandagraundi kujisifia lakini mashabiki wa timu zinazofikiria makombe hawana huu utoto.
Wewe hzo unazodiriki kuziita au kuziona ni chache au hazitodhi kwa timu yako zkowap? NYANI FC/ NGURUWE FCMuwe mnaendelea hivyo hivyo kuleta takwimu na habari za upekee za usimba msiishie njiani kama msimu uliopita. Mlijisifia kikosi bora cha wiki, mlijisifiia goli bora la wiki, mlijisifia timu bora inayoongoza kwa matokeo ya ujumla. Mlijisifia timu bora , Lakini mlipofungwa na kaizer chiefs ndio ikawa mwisho wa kujisifia. Na zile rank mlizokuwa mnatoa ikaishia hapo, Ndio kawaida mashabiki wa timu za maandagraundi kujisifia lakini mashabiki wa timu zinazofikiria makombe hawana huu utoto.
Horoya anaingiaje hapo badala ya kuongelea timu yako ya utopoloAcha upunguani wa kikolo wewe.kwamba wewe ni giant kumzidi horoya....ujinga utawaisha lini enyi makolo
Muwe mnaendelea hivyo hivyo kuleta takwimu na habari za upekee za usimba msiishie njiani kama msimu uliopita. Mlijisifia kikosi bora cha wiki, mlijisifiia goli bora la wiki, mlijisifia timu bora inayoongoza kwa matokeo ya ujumla. Mlijisifia timu bora , Lakini mlipofungwa na kaizer chiefs ndio ikawa mwisho wa kujisifia. Na zile rank mlizokuwa mnatoa ikaishia hapo, Ndio kawaida mashabiki wa timu za maandagraundi kujisifia lakini mashabiki wa timu zinazofikiria makombe hawana huu utoto.
Horoya ndio mume wetu siku msimu huu?Acha upunguani wa kikolo wewe.kwamba wewe ni giant kumzidi horoya....ujinga utawaisha lini enyi makolo
Hahahaha hiki kichekesho limetumwa kwa hisani ya VodacomNa mwakaa huu ubingwa lazima uje msimbazi,maana al ahly hawatoboi kabisa wabovu sana.
Msukule alisema Ukitoa Sunday (baba yake) na Kikwete waliopo Utopolo wote Hamnazo.Ndiyo nini hiki umeandika, sijawahi ona mshabiki wa hii timu mwenye akili timam
kwamba na Yanga nayo inafikiria kombe la CAF CL ? Au sijakupata bwana muzee!...Ndio kawaida mashabiki wa timu za maandagraundi kujisifia lakini mashabiki wa timu zinazofikiria makombe hawana huu utoto.
Mhm!! bomba cjakuelewa kabisa hapa. kamba simba ni underground then yanga inafikiria makombe..kweliiiiNdio kawaida mashabiki wa timu za maandagraundi kujisifia lakini mashabiki wa timu zinazofikiria makombe hawana huu utoto.