Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Hahahaaa, karibu kahawa HajarKila la kheri Mbeya City. Teh teh teh.
Dua lako limekubaliwa ShunieKila la heri mnyama yangu mm point 3 ni zetu
mama watoto wangu kwao Mbeya.
kaapa nisipo-support Mneya City leo nisahau unyumba hadi June.
sina jinsi, leo inabidi tu niwe Mbeya City...uzuri wenyewe adhabu hii ni ya dk 90 tu.
wakuu, ungekuwa wewe hata kama ni Simba damu ungekubali kweli?
looooh!!
Naona anamcheka wife wake kimoyomoyo maana anaogopa kushangilia chama lake waziwazi atapigwa ban ya mwaka mzimaPole sana Mkuu lakini unyumba kama kawa huna sababu ya kupigwa kalenda hadi June 2019.
Hahaha!Pole sana Mkuu lakini unyumba kama kawa huna sababu ya kupigwa kalenda hadi June 2019.
Hahahaa. Mtani ila Simba na Yanga ni mechi ya kipekee. Kumbuka round ya kwanza mawazo mliyokuwa nayo halafu nini kilitokea.Ha ha kwa soka lako kama la jana na Singida Utd, naona kama kuna nyingi, labda ubadilike
Hata sitaki. Nimenuna hapa. Hahahaaa.Hahahaaa, karibu kahawa Hajar
Halafu naskia ndege inaishia Ethiopia ,kuna uwezekano wahabeshi wakafanya mambo huko,na kwenye VPL tarehe29 watu wanatangazia ubingwa mgongoni kwako, wee njoo tu ujinywee zako kahawa usubirie bahati yako mwakani tenaHata sitaki. Nimenuna hapa. Hahahaaa.
Ameen mkuuDua lako limekubaliwa Shunie
Amekimbia Team AKILIMALIMkuu simba 4-singida0
Yanga 2-singida 4
Yanga 1-singida 1
Hapo sijagusa Mbao fc[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwani ni mnazi wa klabu gani. Isije kuwa ni Vyura FC. Kaona bao zinamiminika