NdioNasikia Simba wafunga goli ni Kweli'?
OkwinyoNdio
Hapana Sijaenda Mtani Mambo Yamebana KidogoNami pia sijambo Mtani. Uko Taifa nini?
Jana Madrid wamenilaza utamu na Leo simba wanilaze unonooOkwinyo
Oopsss afadhali maana ningepata laana kumuumiza moyo kaka angu mpendwaMarahaba mdogo wangu mambo yako naonq unatuombea njaa
Cha kwanza tayar sie mapemaa tunamaliza shughul
Okwinyoooo
Wamekulaza na nn swahiba??Jana Madrid wamenilaza utamu na Leo simba wanilaze unonoo
Ha ha ha ha sio kwa kujifarji huko aiseeeEe ili yanga apatepo ka miujiza ka kutwaa kombe. Adui kuombeana njaa muhimu
Oopsss afadhali maana ningepata laana kumuumiza moyo kaka angu mpendwa
Ooh. Sawa Mtani.Hapana Sijaenda Mtani Mambo Yamebana Kidogo
Ha ha ha ha sio kwa kujifarji huko aiseee
Et upate laanaa ha ha ha
Ameiiin[emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] enjoy jion yako uwe na tabasamu murua
UshindiiWamekulaza na nn swahiba??
Yaani Machungu Ya Jana Kutotolewa Madrid Nayaamishia LeoHahahaaaaa. Kama nakuona hapo Mtani.
Hahahaa. Furahi tu mtani wangu. Ulipizie kwa kweli.Yaani Machungu Ya Jana Kutotolewa Madrid Nayaamishia Leo
Aksante Mtani,Hahahaa. Furahi tu mtani wangu. Ulipizie kwa kweli.
baada ya Okwi kufanya yake mama hapa kanuna ile mbaya!!mama watoto wangu kwao Mbeya.
kaapa nisipo-support Mneya City leo nisahau unyumba hadi June.
sina jinsi, leo inabidi tu niwe Mbeya City...uzuri wenyewe adhabu hii ni ya dk 90 tu.
wakuu, ungekuwa wewe hata kama ni Simba damu ungekubali kweli?
looooh!!