Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Sema kwelisimba 3 mbeya city 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kwelisimba 3 mbeya city 1
Umeona Mtani mie pia yananichanganya ujue.Magoli Ya Leo Yanaingiajee Mbona Kama Sielewiii
La Kwanza OkwiiiTupia basi na wafungaji kaka
Hahahaa. Eti imekuwa kama rede bana.M pesa imefanya kazi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Manunuzi FC.
Sielewi Mtani au Mlungula umetembea nini? [emoji12] [emoji12]Upoje Mtani
Leo Ni Vua Tuuh Ya Mabaoo.
Sielewi Mtani au Mlungula umetembea nini? [emoji12] [emoji12]
Hahahaaa. Nimecheka sana duuh.Nimeumizwa sana
nimesikitika sana
nimehuzunishwa sana
nimeghadhibishwa sana
nimesononeshwa sana.
sikutegemea mdada mzuri kama wewe uwe unashabikia team tofaut na simba. siku yangu imeharibika kabisa siku ya leo.
Kwa uelewa wako na uwezo Wa chura FC Huwezi kuelewa soka LA mnyama very complexSielewi Mtani au Mlungula umetembea nini? [emoji12] [emoji12]
Najua hiki kilio chako kitakaposhia kwa huyu dadaona sasa.. yaani ndo unazidi kuniumiza moyo we mdada... kwa nini uwe na roho mbaya hivyo? umeipata wapi? yaani hii simba ni ya kununua mechi? au umezoea yanga inavyofanya unadhani ni team zote? please dada yangu usiendelee kuutesa moyo wangu. kwani nimekukosea nini lakini?
Hahahaaa. Duuh.ona sasa.. yaani ndo unazidi kuniumiza moyo we mdada... kwa nini uwe na roho mbaya hivyo? umeipata wapi? yaani hii simba ni ya kununua mechi? au umezoea yanga inavyofanya unadhani ni team zote? please dada yangu usiendelee kuutesa moyo wangu. kwani nimekukosea nini lakini?
Hahahaaaa. Labda kama ningekuwa nimeanza jana ushabiki wa mpira ila kwa kuwa nimeanza kitambo itanichukua muda sana kuelewa ulichokiandika Mkuu.Kwa uelewa wako na uwezo Wa chura FC Huwezi kuelewa soka LA mnyama very complex
Alizidi Kufanyaje Tena Mtani Wao Si Wamemuacha Wanmkaba BoccoHahahaaaa. Ila alizidi mtani. [emoji85] [emoji85]
Hahahaaa. LolNajua hiki kilio chako kitakaposhia kwa huyu dada
Hahahaaa. Hivyo akikabwa Bocco basi Kwasi anapaswa kuzidi Mtani.Alizidi Kufanyaje Tena Mtani Wao Si Wamemuacha Wanmkaba Bocco