Simba sc yaingia dili nono na Africarriers ltd

Wajinga ndio waliwao, hao ni wahindi wanaotakatisha pesa zao kupitia Simba. Mo na wale wahindi wake ni wajanja sana.
Simba kwa sasa ni kichaka cha kutakatishia pesa
Sasa ndo umeandika nini mtani?
 
Huu mkataba ni wa mda gani? Miaka mingapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…