Simba SC yamnasa mnyama Aubin Kramo

Simba SC yamnasa mnyama Aubin Kramo

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Ins52160607660_f53ffeafbcf140159bb8d74c34ef5aeb_358996430_816170390093872_4074137842603184464_n.jpg

Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa Mshambuliaji hatari AUBIN KRAMO kutoka Asec Mimosas kwa Mkataba wa miaka miwili.

Kramo (27) raia wa Ivory Coast ana uwezo wa kucheza winga zote mbili na kucheza namba 10.

My Take
Hapa Simba imeupiga mwingi. Karibu Simba SC mnyama Aubin Kramo.
 
Zilikuwepo sema hazikupewa nguvu..nenda YouTube utaona.
Hapa wamepiga chenga kali sana ya mwili.

Kulikuwa hakuna tetesi zozote za usajili huu..

Uto mwaka huu watahara damu.
 
Back
Top Bottom