rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Tatizo ni bodi ya Ligi, wiki nzima timu hazikucheza bila sababu. bila sababu. Viongozi wapo sahihi, Singida ni tawi la yanga watawapa wachezaji wetu majeruhi ili mradi kuwakomoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao power dynamo kipindi sisi huku tumesimama kucheza ligi wao walikua wanacheza nini cha ziada ulikiona? na kama Al Ahly sio wenzetu tume enda kucheza AFL kutafta nini?Kwani Al Ahly ni Simba? Hebu acha kuwapangia viongozi wa Simba vitu vya kufanya. Al Ahly ni Al Ahly na simba ni simba. Kila mmoja ana mipango yake.
Mashabiki wapumbavu kama wewe ndio mtaji wa viongozi tume cheza na Singida mechi ngapi ambazo wachezaji wetu wameumizwa?Sawa kabisa, Singida ni moja ya timu iliyo na historia ya kuumiza wachezaji wetu. Utopolo msijalli sana, tutacheza nao tu baada ya Super League.
Kila timu inamipango yake mzee. Usilazimishe kila jambo lifanane. Wewe ni KE au ME?Hao power dynamo kipindi sisi huku tumesimama kucheza ligi wao walikua wanacheza nini cha ziada ulikiona? na kama Al Ahly sio wenzetu tume enda kucheza AFL kutafta nini?
1...................................JKWalioombwa ni TFF wanaolalamika ni Utopolo.
Yanga wenye akili ni waili tu. Wataje
Kwani wewe ndio TFF? Kama haushiriki AFL aka Super League, hauna haki ya kuzungumzahawa jamaa majinga sana imani gani tena wakati uwezo wa kocha robertinyo ndio umefika mwisho kabisa pale..
Kama tuna mipango yetu tusinge enda kucheza hio ligi, kuhusu jinsia mimi ni mme wa dada yakoKila timu inamipango yake mzee. Usilazimishe kila jambo lifanane. Wewe ni KE au ME?
Usilazimishe mzee watu wafanane. Kumbe mwanaume!!! Mbona tabia zako za kike kike kujilinganisha na wengine?Kama tuna mipango yetu tusinge enda kucheza hio ligi, kuhusu jinsia mimi ni mme wa dada yako
Siku zilikuwa chache sana hii una siku 10 kujifuaaUmesahau kwamba kuna game ya NBCL inayokuhusu iliahirishwa ili update muda wa kupumzika, hadi ikaonekana umeanza kuwa na viporo?
Moja ya sifa ya mwanaume ni kupambana sio kujielegeza chukua hio young boy! mchezaji kazi yake ni kucheza mpira ndio maana wanalipwa mamilioni uliona kazi gani mtu anapumzika siku 10 hayupo likizo? sisi huku ground tunapiga kazi Monday to SundayUsilazimishe mzee watu wafanane. Kumbe mwanaume!!! Mbona tabia zako za kike kike kujilinganisha na wengine?
Ni wanawake pekee wanaopenda mashindano ya kijinga kama yako haya.
Moja ya sifa za mwanamke ni woga kama weweUsilazimishe mzee watu wafanane. Kumbe mwanaume!!! Mbona tabia zako za kike kike kujilinganisha na wengine?
Ni wanawake pekee wanaopenda mashindano ya kijinga kama yako haya.
Mzee kila mtu anamipango yake. Kupambana kama ndezi bila mipango ni upumbavu.Moja ya sifa za mwanamke ni woga kama wewe
Mashabiki wapumbavu kama wewe upo upo tu hujui lolote. Luc Emeyel aliwapa majina mnayostahiliMashabiki wapumbavu kama wewe ndio mtaji wa viongozi tume cheza na Singida mechi ngapi ambazo wachezaji wetu wameumizwa?
Wewe ndio hao nyani mlio kua mnatajwa, tumecheza na Singida mechi ngapi na mara ngapi wachezaji wetu wameumia? hakuna mchezaji wa timu pinzani kasha umia akiwa anacheza na Simba?Mashabiki wapumbavu kama wewe upo upo tu hujui lolote. Luc Emeyel aliwapa majina mnayostahili
Hata mngeondoa zote kipigo kipo pale paleCEO wa klabu ya Simba SC, Imani Kajula ameiomba bodi ya ligi iwaondolee mchezo wa ligi kuu dhidi ya Singida fountain gate Liti ili wachezaji wapumzike wajiandae na mechi dhidi ya Al-Ahly 20 October 2023.
"Tuna imani na benchi letu la ufundi, tuwape muda watafanyia marekebisho kuhusu maoni ya mashabiki na wanachama"
"Tuna ratiba ngumu sana, tutacheza na Tanzania Prisons October 5 ugenini, kisha Singida fountain gate ugenini October 8 halafu Al Ahly October 20. Tungeomba bodi ya ligi ituondolee mchezo dhidi ya Singida fountain ili tuweze kujiandaa vizuri na wachezaji wapumzike kwa sababu wametoka kwenye mechi ngumu
©️ Imani Kajula Via Efm radio