Simba SC yaongoza kwa ubora east and central africa ,ya 20 Africa

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
hii ni kwa mujibu wa list ya hadi tarehe 30 may 2019. simba ni ya 20 afrika, ya kwanza east and central africa ikifuatiwa na gor mahia ya kenya ambayo ni ya 23 afrika, ya tatu ni kcca ya uganda ambayo ni ya 27 afrika na ya nne ni rayon ya rwanda ambayo ni ya 37 afrika.

 
Huwa hizi data mnazitoa wapi.
Nakuletea zilizo sahihi. Sasa
 
Huwa hizi data mnazitoa wapi.
Nakuletea zilizo sahihi. Sasa
soma hadi chini hiyo ni latest ya juzi zinabadilika kila baada ya muda majuzi miezi miwili iliyopita simba ilikuwa ya 22 yanga ya 54 sijui yanga sasa hivi iko wapi sisi tunaangalia top 50
 
Jamani Simba mpo kwa 200 na kigu huko sisi Yanag ndo usiseme
 
Acha uongo
Nakushushia nondo sasa.
 

Attachments

  • Screenshot_20190601-072827.png
    285.1 KB · Views: 25
  • Screenshot_20190601-073126.png
    75 KB · Views: 25
  • Screenshot_20190601-073152.png
    91.5 KB · Views: 25
  • Screenshot_20190601-072812.png
    191.8 KB · Views: 25
  • Screenshot_20190601-072655.png
    221.2 KB · Views: 24
Hii nikwa mujibu wa Tarehe 26 may 2019
 
SIKIA BWANA MDOGO
Hii nikwa mujibu wa Tarehe 26 may 2019
HAO FOOTBALL DATABASE WANAWEKA WAO KWA UTASHI WAO ILA SISI TUNAFATA ZINAZOTOLEWA NA VYOMBO HUSIKA KWA MFANO WAO FOOTBALL DATABASE WANABADILISHA KILA WEEK KWA KUANGALIA TEAM ILIYOCHEZA WANAFATILIA MECHI ZILIZOPO NDIYO CRITERIA YAO
ANGALIA MFANO MDOGO HAPA . LIST YA FIFA CLUB BORA DUNIANI (27 MAY 2019 NA YA HAO FOOTBALL DATABASE YA 19 MAY.


 
Kama ni hivyo kwa nini Namba 1 ni Tp wakati no. Ni Esparance
 
Kama ni hivyo kwa nini Namba 1 ni Tp wakati no. Ni Esparance
sasa ndugu FIFA ya 27 may 2019 kamuwekla barcelona namba moja hiyo source yako imemuweka liverpool na hata point zao ni tofauti na za FIFA na CAF unataka tumuamini nani?simba inatambulika na CAF kama namba 20 na namba moja east and central africa,duniani inatambuliwa kama namba moja east nd central africa na FIFA ikiwa namba 398 ,tpmazembe ya 302 .LABDA MO DEWJI ALIHONGA HELA HUKO CAF NA FIFA
 
hii yko haina uhalisia hata kwa akili tu ya kawaida, mm ni mpz wa Yanga ila Simba haiwezi kuwa nafasi ya 257 Africa, team iliyofika nusu fainali CAF CL, hasahasa ikiwa nyuma sana si zaidi ya 30... may be huo mtandao wako haupdate taarifa
 
achana na hzio za 5 year ranking latest ni hiyo hapo niliyoweka ,naangalia hata ya FIFA hapa simba ni ya 398 duniani mazembe ya 302 sevilla ya 11
Sevilla wakumi na moja kivipi kwa mpira gani? Au wa 11 kwa ligi ya ureno tu? Yani giant wa ligi nne bora ata ukichukua watatu kwenye hzo nchi zinakuwa 12. Waambie Fifa waludie utafiti.
 
kwa mujibu wa FIFA CLUB RANKINGS YA 27/05/2019 yaani siku nne zilizopita simba sports club ni ya 398 duniani na sporting charleroi ya belgium ni ya 399 huku Genk ya samatta ikiwa ya 70 kwenye website ya FIFA ya ranking za clun uki search Tanzania inakuja club moja tu simba ,kama unabisha jaribu uoneπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜Ž
-
 
Sevilla wakumi na moja kivipi kwa mpira gani? Au wa 11 kwa ligi ya ureno tu? Yani giant wa ligi nne bora ata ukichukua watatu kwenye hzo nchi zinakuwa 12. Waambie Fifa waludie utafiti.
sevilla ni ya spain siyo ureno rudia utafiti wa ufikiri wa ubongo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…