SIMBA SC yashinda 6-0 dhidi ya Dar City FC | ASFC | Benjamini Mkapa Stadium

SIMBA SC yashinda 6-0 dhidi ya Dar City FC | ASFC | Benjamini Mkapa Stadium

Utopolo walikuwa pembeni wanajidanganya na leo Simba atafungwa, sasa nawaona wanavyotunga visingizio wapo wanajadili, mmoja amesema Simba amenunua naona ndio wanakaribia kukubaliana na kisingizio chake, tatizo wanaulizana tukiulizwa risiti ya manunuzi iko wapi tuwaoneshe nini?!
 
Back
Top Bottom