gabby jacoby
Member
- Dec 12, 2018
- 45
- 154
[emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona Uto umeniganda kama jojoTunataka Mfanye Hivi Kwa Prisons [emoji23]
Mchezaji kuumia Ni uzembeUshauri wangu
Simba toeni hao mastar watakuja umizwa muanze visingizio vya majeruhi huko mbeleni
umeipima hiyo Kasi kwa kumfunga Dar City? [emoji1787][emoji1787] ngoja ligi kuu ukutane na saizi zako.Nyie tulieni saizi mtambo ushawaka abiria chimbeni dawa kabisa hii gari ya leo kwa kasi hii haioneshi dalili ya kusimama njiani
naona Uto umeniganda kama jojoTunataka Mfanye Hivi Kwa Prisons [emoji23]
Nakuona unahangaika huku muda mrefu, wenzako bado wako wanajadiliana waje na kisingizio gani wewe kiherehere umetoroka kikaoni unakuja kututapikia miguu ya kuku huku, rudi kikaoni..Ila kiukweli tulikuwa hatuna haja ya kununua hii mechi, hata tungeshinda goli moja kama tulivyozoea kwenye ligi isingekuwa tatizo. Huu mzigo tungeutunza kwa ajili ya kuwanunua maafande wa prison.. "Simba guvu moya"
Wakuu hivi tunapata wapi ujasiri wa kushangilia goli kwa timu ya ligi daraja la 3? Tena tumenunua mechi.. hizi nguvu tungezitumia kwa Kagera na mbeya city si tungekuwa mbali.. " Simba guvu moya"
Hebu tuondolee machozi hapa..futa na hilo kamasi unalokula.Wakuu hivi tunapata wapi ujasiri wa kushangilia goli kwa timu ya ligi daraja la 3? Tena tumenunua mechi.. hizi nguvu tungezitumia kwa Kagera na mbeya city si tungekuwa mbali.. " Simba guvu moya"
🤣🤣🤣 Simba ikifungwa mbovu ikishinda inanunua mechi daah!!Ila kiukweli tulikuwa hatuna haja ya kununua hii mechi, hata tungeshinda goli moja kama tulivyozoea kwenye ligi isingekuwa tatizo. Huu mzigo tungeutunza kwa ajili ya kuwanunua maafande wa prison.. "Simba guvu moya"
Sio wewe uliyekula goli 4 nusu fainal, kisha msimu uliofata tukakunywa moja fainali?Wakuu hivi tunapata wapi ujasiri wa kushangilia goli kwa timu ya ligi daraja la 3? Tena tumenunua mechi.. hizi nguvu tungezitumia kwa Kagera na mbeya city si tungekuwa mbali.. " Simba guvu moya"
Bwaahaha hahahaha aisee!Nakuona unahangaika huku muda mrefu, wenzako bado wako wanajadiliana waje na kisingizio gani wewe kiherehere umetoroka kikaoni unakuja kututapikia miguu ya kuku huku, rudi kikaoni..
Kikao kipi mkuu? Hiki cha juzi tulichokaa kujadili mpango wa kumfukuza Pablo baada ya Hamis Kiiza kutulaza mapema?Nakuona unahangaika huku muda mrefu, wenzako bado wako wanajadiliana waje na kisingizio gani wewe kiherehere umetoroka kikaoni unakuja kututapikia miguu ya kuku huku, rudi kikaoni..