Hivi hii Horoya Fc haijawahi fungwa 7 na Simba CAF!?π ππ π πππππ: Klabu ya Simba Sc imemtangaza nyanda Moussa Pinpin Camara kama mchezaji mpya klabuni hapo akitokea klabu ya Horoya AC ya Guinea.
Camara (25) raia wa Guinea π¬π³ mwenye urefu wa sentimita 185 amesaini mkataba wa miaka miwili utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2026 na tayari yupo Benjamin Mkapa kwa ajili ya mazoezi ya mwisho kuelekea Simba Day hapo kesho.
View attachment 3059285
Mbona Liverpool waliwahi kuwafunga as roma goli sita na wakamsajili golikipa wao AllisonHivi hii Horoya Fc haijawahi fungwa 7 na Simba CAF!?
Ilyofungwa ni Horoya FC kwa Ujumla wake kama Timu au Kipa Camara alikuwa akicheza tu peke yake Uwanja mzima?Hivi hii Horoya Fc haijawahi fungwa 7 na Simba CAF!?
Sentimita 185 bado mfupi? Djigui ana urefu gani?!Mbona umbo lake ni dogo na mfupi ?
Hivi Simba wamemsajiri kwa ubora gani alionao?
Ana sifa zipi?
Yeah, Simba iliweka rekodi ya kushinda mabao mengi katika hatua ya makundi. Ni timu chache sana zimefanya hivyo ikiwemo Raja Casablanca iliyoifunga Yanga 6-0 katika hatua hiyo.Hivi hii Horoya Fc haijawahi fungwa 7 na Simba CAF!?
Nilivyo mwona pale uwanja wa ndege hakuonekana kuwa ana urefu wa futi 6.Sentimita 185 bado mfupi? Djigui ana urefu gani?!