min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumekuja! Tuambie kolo
Hata mwaka jana ulisema Yanga SC atakuwa wa 3 kwenye kundi lake Cc ephen_Vital'o itawaondoa Yanga raundi ya awali, nimeiangalia sana
Urefu ni cm185 ni mfupi? Kampime kipa bora wa ligi kuu uone ana ngapiMbona umbo lake ni dogo na mfupi ?
Hivi Simba wamemsajiri kwa ubora gani alionao?
Ana sifa zipi?
Huyo amesajiliwa baada ya Ayoub kuumia, Lakred asingeumia wasingemsajiliKwahyo kumbe changamoto ya simba ilikuwa goalkeeper basi mwororo.
Umepata wapi hiyo profile yake?Urefu ni cm185 ni mfupi? Kampime kipa bora wa ligi kuu uone ana ngapi
Mbona umbo lake ni dogo na mfupi ?
Hivi Simba wamemsajiri kwa ubora gani alionao?
Ana sifa zipi?
Tena makapi ya kwenda.Zoa zoa united
Na goloni alisimama huyo huyo jamaa (Camarà) kiufupi hilo ni shati tena la maua maua.Hivi hii Horoya Fc haijawahi fungwa 7 na Simba CAF!?
Wakawaongepea ma mbumbumbu wao kua ni Ely mpenzu.Ndio huyu waliekuwa wanamziba uso nusu ashindwe kupumua?
View: https://youtu.be/IrR3-pB5ngQ?si=bB-Awlv74ikRu0D4
Yaani huyu mtu ni mfupi. Wabongo mnatia aibu sana, yaani hata kautafiti kadogo tu kabla ya kuandika jambo hawezi?
hahahahahahahahahahahahahaha......Ilyofungwa ni Horoya FC kwa Ujumla wake kama Timu au Kipa Camara alikuwa akicheza tu peke yake Uwanja mzima?