Simba Sc yatoa tamko shombo la kocha wa Orlando

Simba Sc yatoa tamko shombo la kocha wa Orlando

Ndio ingejibu hivyo kama ulivyojibu wewe, maana ni sehemu ya tuhuma kwa Simba kuhonga Marefa.

Inawezekana walikuja na kupewa taarifa potofu juu ya michezo michafu na ndio maana wametumia mlango tofauti wa kuingilia vyumbani
Sasa lawama wapeleke kwa hao mashushushu walio walaghai na sio kutafuta sympathy kwa kivuli cha simba
 
Zile shutuma za manara hazikuichafua simba peke yake, ziliichafua nchi pia. Na haya ndio matokeo yake, wageni wakija wanakuwa na mtazamo usiokuwa na afya juu ya vilabu vyetu na hata huduma za jamii kwa ujumla.
Tunawachora tu. Tutawaona na wao mwaka huu . Wanafikiri wanaichafua simba kumbe hata wao wanajichafua
 
Caf walishapokea malalamiko kutoka Kwa timu nyingi zinazokuja kucheza na Simba Dar, Ata kocha wa Orando alivyo lalamika Caf hawatakua wageni na shutuma dhidi ya Simba.
Watakacho fanya Caf ni kuanzishwa u hunguzi rasmi Kwa kupitia malalamiko ya vilabu vyote vilivyo lalamika dhidi ya Simba na Kuja na suluhisho la kudumu.
 
Raisi wa Kongo wa kipindi kile Mabutu sese seko wa zabanga. Alisha toa jeshi kulinda timu yake kisa mambo kama haya. Wasiwasi ni kipimo cha akili. Safi Simba ombeni ulinzi wa serikali zote 2 south na Tz.
 
Caf walishapokea malalamiko kutoka Kwa timu nyingi zinazokuja kucheza na Simba Dar, Ata kocha wa Orando alivyo lalamika Caf hawatakua wageni na shutuma dhidi ya Simba.
Watakacho fanya Caf ni kuanzishwa u hunguzi rasmi Kwa kupitia malalamiko ya vilabu vyote vilivyo lalamika dhidi ya Simba na Kuja na suluhisho la kudumu.
Nzi wa kijani katika kinyesi cha ng'ombe wa mayele [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Caf walishapokea malalamiko kutoka Kwa timu nyingi zinazokuja kucheza na Simba Dar, Ata kocha wa Orando alivyo lalamika Caf hawatakua wageni na shutuma dhidi ya Simba.
Watakacho fanya Caf ni kuanzishwa u hunguzi rasmi Kwa kupitia malalamiko ya vilabu vyote vilivyo lalamika dhidi ya Simba na Kuja na suluhisho la kudumu.

Well.....Tukubali kuwa Vilabu vingi vinavyocheza na Simba ni mara nyingi hulalamika na kutoa shutuma kwa CAF.

Swali: Kwanini mpaka sasa hatujasikia Klabu ya Simba haijapata adhabu kufuatia hayo matukio wanayoyafanya.....Ilhali ni mara nyingi tunasikia vilabu vikipata adhabu kwa mbinu zao chafu?

Mfano: Msimu huu tumeshuhudia Club ya YANGA (UTOPOLO) ikipewa adhabu ya kiasi kisichopungua TZS 10mil. Je, Club ya Simba inau-special gani hadi isipewe adhabu kama ni kweli inafanya hivyo vitendo?
 
Kwa hatua waliyofikia SIMBA kwa sasa, waache mipasho. Halafu taarifa ya kiswahili, kwani mlengwa ni Yanga?
Ipo na ya lugha ya Malikia ni uvivu wako,ungefanya juhudi kidogo tu ungeweza kuziona zote mbili.Aliyeleta hapa kachagua kuleta hii ya kiswahili
 
English version mbona haipo humu. Nimeona Twitter wasauz wanaponda Ile mbaya. Wanaponda kuhusisha mambo ya Anc na apartheid na mechi ya Orlando.
Hao mbona wachache sana,na wale wanaounga mkono je mbona hujawasema
 
Caf walishapokea malalamiko kutoka Kwa timu nyingi zinazokuja kucheza na Simba Dar, Ata kocha wa Orando alivyo lalamika Caf hawatakua wageni na shutuma dhidi ya Simba.
Watakacho fanya Caf ni kuanzishwa u hunguzi rasmi Kwa kupitia malalamiko ya vilabu vyote vilivyo lalamika dhidi ya Simba na Kuja na suluhisho la kudumu.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20220419_202703.jpg


Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wenzangu tujitahidi tusiwe na njaa kama alizonazo manara na tamaa ya umaarufu yupo tayari kufanya chochote ili aonekane front ila mi nasema ipo siku yake manara hao kina senzo kina GSM Wanaokupa jeuri ipo siku wataondoka tutaona utakuwa mgeni wa nani ndio maana wanawake wanakukimbia kwa tabia zako hizo za uchonganishi.
 
Back
Top Bottom