Simba Sc yatoa tamko shombo la kocha wa Orlando

Simba Sc yatoa tamko shombo la kocha wa Orlando

Caf walishapokea malalamiko kutoka Kwa timu nyingi zinazokuja kucheza na Simba Dar, Ata kocha wa Orando alivyo lalamika Caf hawatakua wageni na shutuma dhidi ya Simba.
Watakacho fanya Caf ni kuanzishwa u hunguzi rasmi Kwa kupitia malalamiko ya vilabu vyote vilivyo lalamika dhidi ya Simba na Kuja na suluhisho la kudumu.
Kwani simba huwa haifanyiwi hujma kuna mchambuzi alishawahi kuelezea wanayofanyiwa simba ugenini ila malipo si hapa hapa nyinyi yanga ambao hamfanyi hujma mlifuka wapi tutawaona mkishiriki mfike mpaka fainali.
 
Caf walishapokea malalamiko kutoka Kwa timu nyingi zinazokuja kucheza na Simba Dar, Ata kocha wa Orando alivyo lalamika Caf hawatakua wageni na shutuma dhidi ya Simba.
Watakacho fanya Caf ni kuanzishwa u hunguzi rasmi Kwa kupitia malalamiko ya vilabu vyote vilivyo lalamika dhidi ya Simba na Kuja na suluhisho la kudumu.
Mbona CAF wanajua kuwa ni kuweweseka kwa wapinzani wa simba wanaokuja Tanzania. Simba anawachanganya sn.Sidhan kama simba anafanya uhuni wowote. Wa South wenyewe wanaojua moira wamemponda sn kocha wa Pirates,na simba iwe imara na wasiwategemee kwa chochote kule ili wafe kwa pressure ya kucheza kwao na hofu ya kufungwa goli la ugenini.

Simba aombe ubalozi wa tz uwapokee kule,maana kocha kaomba mashabiki wagomvi waifanyie ugomvi simba ili kuwatoa mchezoni
 
CEO pia alitakiwa kuzijibu tuhuma zote alizozitoa huyo kocha ikiwemo;
  • Kupewa eskot ya Polisi mmoja
  • Simba kupewa Penat ya isiyo halali
  • Refa kutoenda kuchungulia kwenye VAR
Hakuna tuhuma hata moja hapo inayoihusu Simba. Halafu ninyi wapokea wageni ndiyo chanzo kikuu cha haya yote kwa wivu na chuki zenu. Mnawalisha maneno ya uongo hao mnaowapokea. Maneno ya uzushi kibao mnapokwenda kuwapokea. Sijuwi mnapata faida gani!!!!?
 
Hivi ni Africa tu au mpaka ulaya? Mfano timu ya Chelsea ilipoenda Hispania wanategemea wenyeji wao ambao ni madrid washughulie mazingira ya usafiri, uwanja wa mazoezi na pa kulala? Yaani pamoja na utandawazi uliokuwepo bado timu zinamtegemea mwenyeji kweli. Au gharama zinalipwa na mwenyeji wake?
Una uelewa wowote wa maana ya neno "host"? Maana usipoelewa maana ya hilo neno basi huwezi kuelewa Orlando walikuwa wanalalamika nini.
 
Raisi wa Kongo wa kipindi kile Mabutu sese seko wa zabanga. Alisha toa jeshi kulinda timu yake kisa mambo kama haya. Wasiwasi ni kipimo cha akili. Safi Simba ombeni ulinzi wa serikali zote 2 south na Tz.
Wewe sasa kichaa kimeshapanda kichwani, unaweza vipi kuingiza jeshi lako kwenye nchi nyingine?

Hivi huwa mnashirikisha ubongo wenu kabla ya kutype?
 
Wanaume wenzangu tujitahidi tusiwe na njaa kama alizonazo manara na tamaa ya umaarufu yupo tayari kufanya chochote ili aonekane front ila mi nasema ipo siku yake manara hao kina senzo kina GSM Wanaokupa jeuri ipo siku wataondoka tutaona utakuwa mgeni wa nani ndio maana wanawake wanakukimbia kwa tabia zako hizo za uchonganishi.
Maswala ya riziki anagawa Mungu, hata umchukie vipi future yake ipo mikononi mwa Mungu peke yake.

Umecomment kishangingi mno.
 
Caf walishapokea malalamiko kutoka Kwa timu nyingi zinazokuja kucheza na Simba Dar, Ata kocha wa Orando alivyo lalamika Caf hawatakua wageni na shutuma dhidi ya Simba.
Watakacho fanya Caf ni kuanzishwa u hunguzi rasmi Kwa kupitia malalamiko ya vilabu vyote vilivyo lalamika dhidi ya Simba na Kuja na suluhisho la kudumu.
Team gani hizo?kama RSB kacheza bongo na kapigwa ile kutoa lawama ambazo hazieleweki ikaishia kula fine yeye
 
Maswala ya riziki anagawa Mungu, hata umchukie vipi future yake ipo mikononi mwa Mungu peke yake.

Umecomment kishangingi mno.
Umeelewa kilichoandikwa au ww ndio much know wa jf kumbuka kila mtu ana uhuru wakuchangia kila kitu anachoona sahihi bila matusi comment yako inaonyesha ni jinsi ulivyo naakili finyu hili ni jukwaa huru mbona huyo unayemtetea anamshumbilia makonda na hajawahi kujibiwa na makonda hata ww ungekaa kimya usingepungukiwa kitu kuliko huo utopolo uliondika na kujiona ww ni smart kuliko mtu yeyote hapa jf.
 
Hivi ni Africa tu au mpaka ulaya? Mfano timu ya Chelsea ilipoenda Hispania wanategemea wenyeji wao ambao ni madrid washughulie mazingira ya usafiri, uwanja wa mazoezi na pa kulala? Yaani pamoja na utandawazi uliokuwepo bado timu zinamtegemea mwenyeji kweli. Au gharama zinalipwa na mwenyeji wake?

It is a law
 
Simba acheni kuihusisha nchi yetu kwenye vita mliyoiazisha wenyewe , kwa nini muombe ulinzi wa nchi ,Hapana walinzi tuna kazi nao.[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom