SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Kwahiyo CEO anataka nchi itoe wanausalama wakawalinde huko South?
Yani hilo la South kuwapa ulinzi, ni kujichosha tu. Yani watoe walinzi wailinde timu ya Tanzania inayopambana na timu toka kwao? Tih tih
Yani hilo la South kuwapa ulinzi, ni kujichosha tu. Yani watoe walinzi wailinde timu ya Tanzania inayopambana na timu toka kwao? Tih tih