Simba SC yavunja rekodi ya Raja kuifunga Yanga goli 6

Simba SC yavunja rekodi ya Raja kuifunga Yanga goli 6

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Hii ni rekodi ya vipigo vikali kuwahi kutolewa katika mashindano ya klabu bingwa Afrika.

Tulichofanya leo ni kuvunja rekodi ya Raja kumchapa Utopolo goli 6.

1998: 🇲🇦Raja [6-0] 🇹🇿Yanga

2001: 🇮🇪ASEC Mimosas [7-0] CR 🇩🇿Belouizdad

2019: 🇨🇩TP Mazembe [8-0] 🇹🇳Club Africain

2023: 🇹🇿Simba [7-0] 🇬🇳Horoya

Nilifikiria namna ya kuichomeka Utopolo kwenye kipigo cha leo, hatimaye nimepata
 
c0d1f25e-d392-433f-bddb-b1b56c46d438.jpg
 
Hii ni rekodi ya vipigo vikali kuwahi kutolewa katika mashindano ya klabu bingwa Afrika.

Tulichofanya leo ni kuvunja rekodi ya Raja kumchapa Utopolo goli 6.

1998: 🇲🇦Raja [6-0] 🇹🇿Yanga

2001: 🇮🇪ASEC Mimosas [7-0] CR 🇩🇿Belouizdad

2019: 🇨🇩TP Mazembe [8-0] 🇹🇳Club Africain

2023: 🇹🇿Simba [7-0] 🇬🇳Horoya

Nilifikiria namna ya kuichomeka Utopolo kwenye kipigo cha leo, hatimaye nimepata
Mmecheza na yanga mkawafunga hizo 7 mpaka mseme mmevunja rekodi ya Raja Casablanca!?
 
Hii ni rekodi ya vipigo vikali kuwahi kutolewa katika mashindano ya klabu bingwa Afrika.

Tulichofanya leo ni kuvunja rekodi ya Raja kumchapa Utopolo goli 6.

1998: 🇲🇦Raja [6-0] 🇹🇿Yanga

2001: 🇮🇪ASEC Mimosas [7-0] CR 🇩🇿Belouizdad

2019: 🇨🇩TP Mazembe [8-0] 🇹🇳Club Africain

2023: 🇹🇿Simba [7-0] 🇬🇳Horoya

Nilifikiria namna ya kuichomeka Utopolo kwenye kipigo cha leo, hatimaye nimepata
Taahira kazini, kipigo cha goli tano tano ulizokula kutoka kwa As vita mbona hapo ujaweka? Au goli 5 sio rekodi?
 
Back
Top Bottom