OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mmecheza na yanga mkawafunga hizo 7 mpaka mseme mmevunja rekodi ya Raja Casablanca!?Hii ni rekodi ya vipigo vikali kuwahi kutolewa katika mashindano ya klabu bingwa Afrika.
Tulichofanya leo ni kuvunja rekodi ya Raja kumchapa Utopolo goli 6.
1998: 🇲🇦Raja [6-0] 🇹🇿Yanga
2001: 🇮🇪ASEC Mimosas [7-0] CR 🇩🇿Belouizdad
2019: 🇨🇩TP Mazembe [8-0] 🇹🇳Club Africain
2023: 🇹🇿Simba [7-0] 🇬🇳Horoya
Nilifikiria namna ya kuichomeka Utopolo kwenye kipigo cha leo, hatimaye nimepata
Hiyo ni rekodi sio mimiWatanuna
Hii mechi naikumbuka kuna ma 4 Yanga walifungwa wakabisha
Tuweke kwani ni club bingwa hatua ya group stage? Au una lako na huo mwiko wako huko nyuma?Wekeni na ile record ya Yanga kuifunga Coffee ya Ethiopia bao 6 mwaka 98 tulipotinga makundi.
Kumbukizi tu ya vipigo vitakatifu hatua ya makundi klabu bingwa na uto nae alichezea kichapo kuanzia goli 6Mmecheza na yanga mkawafunga hizo 7 mpaka mseme mmevunja rekodi ya Raja Casablanca!?
Yanga mbna huwa tunawafunga tutakavyoo.Mmecheza na yanga mkawafunga hizo 7 mpaka mseme mmevunja rekodi ya Raja Casablanca!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa, wanajua kujizima data mnooo. KhaaaaahTuweke kwani ni club bingwa hatua ya group stage? Au una lako na huo mwiko wako huko nyuma?
Taahira kazini, kipigo cha goli tano tano ulizokula kutoka kwa As vita mbona hapo ujaweka? Au goli 5 sio rekodi?Hii ni rekodi ya vipigo vikali kuwahi kutolewa katika mashindano ya klabu bingwa Afrika.
Tulichofanya leo ni kuvunja rekodi ya Raja kumchapa Utopolo goli 6.
1998: 🇲🇦Raja [6-0] 🇹🇿Yanga
2001: 🇮🇪ASEC Mimosas [7-0] CR 🇩🇿Belouizdad
2019: 🇨🇩TP Mazembe [8-0] 🇹🇳Club Africain
2023: 🇹🇿Simba [7-0] 🇬🇳Horoya
Nilifikiria namna ya kuichomeka Utopolo kwenye kipigo cha leo, hatimaye nimepata
Usisahau hiiTaahira kazini, kipigo cha goli tano tano ulizokula kutoka kwa As vita mbona hapo ujaweka? Au goli 5 sio rekodi?