Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Uyo boya anarusha mawe wakati yuko kwenye nyumba ya vioo, na bado kuna kipigo kingine kama icho watakipata mbele ya safari siku sio nyingi na hizi rekodi tutakuwa tunaziweka tu kwa kuwa wameanzishaUsisahau hiiView attachment 2557572
Tunatakaaa kuanzia bao 6 kupanda juu.Usisahau hiiView attachment 2557572
Nenda kwenye official website ya CAF hivyo vipigo havipo ila heaviest kipigo wanahesabu kuanzia goli 6 utopolo mkiwepoTaahira kazini, kipigo cha goli tano tano ulizokula kutoka kwa As vita mbona hapo ujaweka? Au goli 5 sio rekodi?
Iko mtandao gani hii back to back tulete humu kama rekodi za CAFCL group stage?Record ya timu kupigwa nyingi back to back inashikiliwa na simba, hata cotton sports wameshindwa kuvunja hii record
As vita 5-0 simba
Al Ahly 5- 0 simba
Enzi zile sasaUtopolo wanaungana na Horoya kwenye maumivu ya kupigwa mabao mengi nao.