Simba SC yazidi kuimarisha kikosi chake na yamtangaza Elie Mpanzu

Simba SC yazidi kuimarisha kikosi chake na yamtangaza Elie Mpanzu

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Vigogo wa Tanzania, Simba SC wamethibitisha kumsajili Elie Mpanzu Kibisawala kwa mkataba wa miaka miwili akitokea As Vita Club.

IMG_0025.jpeg
Mpanzu anatarajiwa kucheza mechi yake ya kwanza ya Premier League mapema mwakani. Hata hivyo, winga huyo huenda akajumuishwa kwenye kikosi cha Simba kinachoshiriki Kombe la Shirikisho Afrika kwa ajili ya mechi zijazo za hatua ya makundi.


Mpanzu anakwenda kujiunga na washambuliaji wengine wa timu hiyo ambao; Valentino Mashaka, Kibu Denis, Lionel Ateba na Steven Mukwala.

Kwa mujibu wa taarifa ya Simba Mpanzu atajiunga na kikosi hivi karibuni.
 
Kesho wanayanga wenzangu tujiandae kwa press conference kutoka kwa semaji letu, kweli huu msimu ni waubaya ubwele heko kwenu wana simba sisi tuendelee kuamini tunaonewa mala wandishi wa habari wa Azam wanatuambia mala TFF wanaipendelea simba mala waamzi wako upande wao. Simba ndio anazidi kuchanja mbuga
 
Kesho wanayanga wenzangu tujiandae kwa press conference kutoka kwa semaji letu, kweli huu msimu ni waubaya ubwele heko kwenu wana simba sisi tuendelee kuamini tunaonewa mala wandishi wa habari wa Azam wanatuambia mala TFF wanaipendelea simba mala waamzi wako upande wao. Simba ndio anazidi kuchanja mbuga
So far mna kipi cha kujivunia mpka sasa?
 
Back
Top Bottom