Jezi inategemea na rangi ya mwili pia.
Rudi nyumbani maana hutapataNiko njiani kuelekea sinza kuchukua vazi la taifa pamoja na tiketi yangu
ChukiKama hizi jezi ni kali basi tuna safari ndefu sana.
Chukua nyekundu mkuu. utanishukuru badae kidogo
Zote zipo hivyo. Nyuma zimeshuka, na mbele pia, kwenye nyonga zimekuja juuHizo ni kwaajili ya ladies...
Dada angalia wivu usikufanye ujifungue premature....
Vunjabei atauza sana ndani ya hizi siku 7.Yaan hadi huyu chawa wao na hater mkubwa wa lunyasi, ila amekubali na kunyoosha mkono, nani wa kupinga tena??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2316898
Tukutane lupaso keshoJezi inategemea na rangi ya mwili pia.
Ila mie napendaga vitu vyeupe. Ko jezi nyeupe kwangu ni must,
Kati ya red na white, chukua 1 hapo utokelezeeee.
Au nizisubiri kariakoo aiseeRudi nyumbani maana hutapata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyekundu imekakaa kibabe sanaChukua nyekundu mkuu. utanishukuru badae kidogo
Huyu popoma anakwambia kutoka vyanzo vyake vya uhakika livujishiwa jeziDemigod lopolopo njoo huku uone jezi sio ile migaguro yenu mizito hadi mnafungwa goli dk ya kwanza
Tanzania NzimaUnapatikana dar tu au maduka yote ya vunja bei tanzania
Hata wewe bado sana, kuifananisha arsenal na SimbaWabunifu wetu bado sana. Arsenal kwa jezi kali wako mbali sana