SAKHO ni Mchezaji mzuri mno usisikilize maneno ya hao KABWILI FC. Kwa sasa yuko majeruhi kama ilivyo kwa MUGALU na LWANGA. Hao wote watatu wakipona utawaona kwenye kikosi cha kwanza kuwatoa MKUDE, MORRISON, KAGEREMsimu uliopita alikuwa MVP huko kwenye ligi ya nchini kwao.