Simba SC yuko wapi Pape Osman sakho?

Simba SC yuko wapi Pape Osman sakho?

Msimu uliopita alikuwa MVP huko kwenye ligi ya nchini kwao.
SAKHO ni Mchezaji mzuri mno usisikilize maneno ya hao KABWILI FC. Kwa sasa yuko majeruhi kama ilivyo kwa MUGALU na LWANGA. Hao wote watatu wakipona utawaona kwenye kikosi cha kwanza kuwatoa MKUDE, MORRISON, KAGERE
 
Sana ebu tupia kale kavideo kaja maajabu ya sherehe za mapinduzi mwaka huu
 
Katika wachezaji walio sajiliwa simba hakuna mchezaji mwenye kiwango kama duncan nyoni ila simba wamemuacha wao wanajua sababu ila sakho kwa nyoni haingii hata kidogo.
 
Yuko wapi yule mshambuliaji ambaye tuliaminishwa na kamati ya usajili ya klabu ya Simba kuwa ni mahiri katika kuzifumania nyavu za mpinzani?

Alisikika kiongozi mmoja wa tawi la Simba akiwaminisha kuwa Mshambuliaji huyu akikosa goli analia[emoji23] Yaaan hataki mchezo kabisa. Yupo wapi sasa?!
Majibu ya maswali yako yameshajibiwa
 
Back
Top Bottom