Simba sikieni, Mchukueni Kaze!

Simba sikieni, Mchukueni Kaze!

Soka wanalocheza Simba wala sijaliona toka kwa kocha Kaze.

Yanga kuleta kocha mpya wakati ligi inaelekea ukingoni ni hatari zaidi.

Nawashauri wamrudishe kundini Mwinyi Zahera na Mwambusi ambao wanawafahamu vizuri wachezaji wa Yanga.

Japo pia wanaweza kuwafikiria Ndairagije, Meck Mexime au Kocha wa Al Ahly ambae nae anakaribia kutimuliwa hivi karibuni na alishaonekana akifanya mazungumzo na Senzo.
 
Soka wanalocheza Simba wala sijaliona toka kwa kocha Kaze.

Yanga kuleta kocha mpya wakati ligi inaelekea ukingoni ni hatari zaidi.

Nawashauri wamrudishe kundini Mwinyi Zahera na Mwambusi ambao wanawafahamu vizuri wachezaji wa Yanga.

Japo pia wanaweza kuwafikiria Ndairagije, Meck Mexime au Kocha wa Al Ahly ambae nae anakaribia kutimuliwa hivi karibuni na alishaonekana akifanya mazungumzo na Senzo.
Mosimane analipwa tshs 300,000,000/= kwa Mwezi, hela ndefu sana hiyo sio wa kumuota.Lakini pia anapenda challenge kubwa kubwa Yanga aje kufanya nini?
 
Najua unamsongo wa mawazo. Ntakuja kufa kwa kushabikia mitimu ya ajabu
Pole sana kwa kuwa una akili finyu.
Kwa akili yako unajua yeyote anaekosoa mwingine ni shabiki wa utopolo.
Anyway kuwa mjinga sio dhambi
 
Wakuu,

Najua hatuna kurugenzi ya ufundi! Simba mchukueni Kaze! Ni bonge la kocha, Yanga wamemtimua kuficha udhaifu wa kiutawala na usajili mbovu!

Kaze abakie Bongo na Simba tafadhali sana!

Nawakilisha.
Hajui kupika biriani huyo! Hata simba kids hafai?
 
Huku kwa Wanaume tunaye Gomez, Kwa Queen tunaye Mgosi, Sasa huyu Kaze akafundishe wapi ndani ya Simba?
 
Wakuu,

Najua hatuna kurugenzi ya ufundi! Simba mchukueni Kaze! Ni bonge la kocha, Yanga wamemtimua kuficha udhaifu wa kiutawala na usajili mbovu!

Kaze abakie Bongo na Simba tafadhali sana!

Nawakilisha.
Kaze awe nani Simba, maana kua kocha hawezi labda kocha wa Simba N
 
Mosimane analipwa tshs 300,000,000/= kwa Mwezi, hela ndefu sana hiyo sio wa kumuota.Lakini pia anapenda challenge kubwa kubwa Yanga aje kufanya nini?
Hata angekuwa analipwa milioni 30 utopolo wasingeweza kumchukua maana mshahara wa miezi miwili ni malipo ya Tambwe na chenji inabaki
 
Ule utabiri wa majina yatakayotolewa kafara pale kidimbwi fc
Mbona yamejaa sana huku mitandaoni, wakwanza ni yule mzee wamempachika shutuma eti ana kadi ya Simba, sijui walimsachi? mwingine ni yule kitambi flani toka ule mkoa wanakula mbwa nae anawindwa...
 
Mkuu game ya prisons ni leo ama
Mbona yamejaa sana huku mitandaoni, wakwanza ni yule mzee wamempachika shutuma eti ana kadi ya Simba, sijui walimsachi? mwingine ni yule kitambi flani toka ule mkoa wanakula mbwa nae anawindwa...
 
Back
Top Bottom