Simba siyo tu timu ya ajabu, bali pia ina wachezaji wa ajabu

Simba siyo tu timu ya ajabu, bali pia ina wachezaji wa ajabu

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Beki wake mahiri kabisa wa katikati kwa wakati huo,na akiwa beki pekee tegemezi wa Taifa Stars Ndugu George Masatu akiwa na Timu ya Taifa alimdhibiti vilivyo mchezaji hatari Kabisa Afrika na Duniani akiwa na Timu yake ya Taifa huko kwao Liberia ndugu George Opong wear.
Wakati huo George Wear alikua akichezea klabu bingwa ya Italy na Kilabu bingwa ya Ulaya na klabu bingwa ya Dunia AC Milan.

Yeye mwenyewe George Wear alikua mchezaji Bora wa Dunia.

Lakini amini usiamini Alidhibitiwa na George Magere Masatu hakuweza kufunga hata bao moja.

Baada ya mechi akamfuata Masatu akamuuliza anachezea Timu gani Ulaya.

Alishangaa Sana kwa uwezo wa Masatu kutocheza Ulaya.

George Wear aliitoa Dola Mia tano akampa George Masatu kwa kuweza kumtuliza dakika 90.
 
George Weah alikuja na ndege special kucheza na kuwahi kurudi kuchezea AC Milan, siku hiyo nilikuwepo uwanjani kiukweli Weah alikuwa anaogopa kuumia alianza kucheza namba 5 Stars ilipopata goli akabadili namba kulikuwa na mchezaji anaitwa Prince Daya pamoja na Mliberia mwingine alikuwa anachezea Simba.
 
George Weah alikuja na ndege special kucheza na kuwahi kurudi kuchezea AC Milan, siku hiyo nilikuwepo uwanjani kiukweli Weah alikuwa anaogopa kuumia alianza kucheza namba 5 Stars ilipopata goli akabadili namba kulikuwa na mchezaji anaitwa Prince Daya pamoja na Mliberia mwingine alikuwa anachezea Simba
Huyo Mliberia wa Simba alikuwa anaitwa William Fanbulla.

Ila katika hiyo match Marehemu Said Mwamba Kizota aling'ara sana.
 
Beki wake mahiri kabisa wa katikati kwa wakati huo,na akiwa beki pekee tegemezi wa Taifa Stars Ndugu George Masatu akiwa na Timu ya Taifa alimdhibiti vilivyo mchezaji hatari Kabisa Afrika na Duniani akiwa na Timu yake ya Taifa huko kwao Liberia ndugu George Opong wear.
Wakati huo George Wear alikua akichezea klabu bingwa ya Italy na Kilabu bingwa ya Ulaya na klabu bingwa ya Dunia AC Milan.

Yeye mwenyewe George Wear alikua mchezaji Bora wa Dunia.

Lakini amini usiamini Alidhibitiwa na George Magere Masatu hakuweza kufunga hata bao moja.

Baada ya mechi akamfuata Masatu akamuuliza anachezea Timu gani Ulaya.

Alishangaa Sana kwa uwezo wa Masatu kutocheza Ulaya.

George Wear aliitoa Dola Mia tano akampa George Masatu kwa kuweza kumtuliza dakika 90.
Ina wachezaji wa ajabu,kwamba wana niguu ya kushoto wote?
 
Hivi ni kwamba saumu ilikua kali kiasi hiki ama ni mimi tu ndo nisoelewa kilichoandikwa.......🤔
 
Beki wake mahiri kabisa wa katikati kwa wakati huo,na akiwa beki pekee tegemezi wa Taifa Stars Ndugu George Masatu akiwa na Timu ya Taifa alimdhibiti vilivyo mchezaji hatari Kabisa Afrika na Duniani akiwa na Timu yake ya Taifa huko kwao Liberia ndugu George Opong wear.
Wakati huo George Wear alikua akichezea klabu bingwa ya Italy na Kilabu bingwa ya Ulaya na klabu bingwa ya Dunia AC Milan.

Yeye mwenyewe George Wear alikua mchezaji Bora wa Dunia.

Lakini amini usiamini Alidhibitiwa na George Magere Masatu hakuweza kufunga hata bao moja.

Baada ya mechi akamfuata Masatu akamuuliza anachezea Timu gani Ulaya.

Alishangaa Sana kwa uwezo wa Masatu kutocheza Ulaya.

George Wear aliitoa Dola Mia tano akampa George Masatu kwa kuweza kumtuliza dakika 90.
Kwanza inaonekana huna unalo lijua juu ya iyo mechi, inawezekana umehadithiwa na umeongopewa.
Wakati Liberia imekuja kucheza na Stars George Weah alikua Namba tisaa wa AC millan Ila mechi iliyo chezwa apaKati ya Liberia na Stars, Weah Alicheza Namba Tano (Sentaafu).na mshambuliaji mraibelia aliyekua akichezea Simba kwa wakati uo William Fan bura ali cheza na mba tisa. Sasa usiwe unaandika vitu usivyo vijua ilijukwaa lina watu wengi wanao fahamu vitu vingi . Nakumbuka baadhi ya wachezaji kwenye Ile Mechi David Mwakalebela alikua Captain, Method Mogela, Nemes, Masha, Athuman China,Masatu, Sanifu Lazaro,n.k
 
George Weah alikuja na ndege special kucheza na kuwahi kurudi kuchezea AC Milan, siku hiyo nilikuwepo uwanjani kiukweli Weah alikuwa anaogopa kuumia alianza kucheza namba 5 Stars ilipopata goli akabadili namba kulikuwa na mchezaji anaitwa Prince Daya pamoja na Mliberia mwingine alikuwa anachezea Simba.
Kumbukumbu unayo ila kuna mambo umekosea. George Weah hakuja na kuondoka siku hiyo hiyo. Wakati huo alikuwa ndio kama kila kitu, kama mfadhili, meneja, kocha na mchezaji. Alitangulia nchini siku chache kuweka mambo sawa. Kwenye press conference waandishi wa bongo wakamuuliza kama anafahamu kuwa mliberia mwenzake William Fahnbulleh yupo Tanzania kwenye ligi ya Bongo, akashangaa na kufurahi, akaomba wamlete, Fahnbulleh akaletwa kambini na akaja kupangwa wingi ya kulia, akapiga kross iliyozaa bao.

Ninachokupongeza ni kwamba unakumbuka kuwa George Weah alicheza kama beki namba tano, ila Dua Said alipoipatia Taifa Stars bao la kusawazisha, ule mpira wa kuweka kati ulipoanzishwa Weah alipangua mabeki kadhaa wa Stars na akabaki kumalizia, kwa umahiri mkubwa Steven Nemes licha ya mwili mkubwa aliruka na kupangua shuti, kisha Weah akarudi fasta kwenye nafasi yake ya beki. Kitu kingine kilichoshangaza ni kuona Watanzania wakishangilia wakati Weah anapangua ngome ya Stars, ni kama vile waliipenda Stars ila pia walikuwa na hamu waone Weah anafunga
 
Beki wake mahiri kabisa wa katikati kwa wakati huo,na akiwa beki pekee tegemezi wa Taifa Stars Ndugu George Masatu akiwa na Timu ya Taifa alimdhibiti vilivyo mchezaji hatari Kabisa Afrika na Duniani akiwa na Timu yake ya Taifa huko kwao Liberia ndugu George Opong wear.
Wakati huo George Wear alikua akichezea klabu bingwa ya Italy na Kilabu bingwa ya Ulaya na klabu bingwa ya Dunia AC Milan.

Yeye mwenyewe George Wear alikua mchezaji Bora wa Dunia.

Lakini amini usiamini Alidhibitiwa na George Magere Masatu hakuweza kufunga hata bao moja.

Baada ya mechi akamfuata Masatu akamuuliza anachezea Timu gani Ulaya.

Alishangaa Sana kwa uwezo wa Masatu kutocheza Ulaya.

George Wear aliitoa Dola Mia tano akampa George Masatu kwa kuweza kumtuliza dakika 90.
Huyu George Wear ni nani mbona kumbukumbu zinaonyesha kuwa kuna George Opong Weah lakini siyo Wear?Pia huo uajabu unaoongelea ni upi wakati wote ni wachezaji?
 
Kumbukumbu unayo ila kuna mambo umekosea. George Weah hakuja na kuondoka siku hiyo hiyo. Wakati huo alikuwa ndio kama kila kitu, kama mfadhili, meneja, kocha na mchezaji. Alitangulia nchini siku chache kuweka mambo sawa. Kwenye press conference waandishi wa bongo wakamuuliza kama anafahamu kuwa mliberia mwenzake William Fahnbulleh yupo Tanzania kwenye ligi ya Bongo, akashangaa na kufurahi, akaomba wamlete, Fahnbulleh akaletwa kambini na akaja kupangwa wingi ya kulia, akapiga kross iliyozaa bao.

Ninachokupongeza ni kwamba unakumbuka kuwa George Weah alicheza kama beki namba tano, ila Dua Said alipoipatia Taifa Stars bao la kusawazisha, ule mpira wa kuweka kati ulipoanzishwa Weah alipangua mabeki kadhaa wa Stars na akabaki kumalizia, kwa umahiri mkubwa Steven Nemes licha ya mwili mkubwa aliruka na kupangua shuti, kisha Weah akarudi fasta kwenye nafasi yake ya beki. Kitu kingine kilichoshangaza ni kuona Watanzania wakishangilia wakati Weah anapangua ngome ya Stars, ni kama vile waliipenda Stars ila pia walikuwa na hamu waone Weah anafunga
Baada ya mechi Weah alipanda ndege alikodishiwa nq ac milan kuwqhi mechi iliyochezwa, ni kweli watanzania wengi walimshangilia Weah Sekilojo Chambua alikuwa akijisifu kwa kumpiga kanzu
 
George Weah alikuja na ndege special kucheza na kuwahi kurudi kuchezea AC Milan, siku hiyo nilikuwepo uwanjani kiukweli Weah alikuwa anaogopa kuumia alianza kucheza namba 5 Stars ilipopata goli akabadili namba kulikuwa na mchezaji anaitwa Prince Daya pamoja na Mliberia mwingine alikuwa anachezea Simba.
William fanbuller
 
Back
Top Bottom