Simba Sport Club: Taarifa kwa umma

Simba Sport Club: Taarifa kwa umma

Taarifa imeharibiwa na maneno mengi yasiyo na miguu wala mikono. Kuhusu kushangilia goli hata mtangazaji mmoja alisema 'anaweka mpira kifuni anageuka na kuiandikia yanga bao' Kwamba mpira ulimbabatiza mkononi ilionekana zaidi kwenye replay. Hata world cup haya makosa yapo.
Kwahiyo wewe unaangaliziwa na huyo mtangazaji?Ninyi ndiye wale wanatazama soka wakiwa uwanjani na vi radio masikioni.Daa!Safari bado ni ndefu sana.
 
Bwana Nanara hii taarifa ya club ya Simba au mashairi ya singeli
 
Lile goli ka mtu anacheza american footbal!!! hii ni soccer aisee... Anyway sio issue haya huwa yanatokea
 
kulipa tutalipa tu lakini muungwana ni vitendo wenzetu wana yanga bundi ndo anaanza kuingiza kichwa chake kaeni chini muanze kuutafuta ugonjwa kwa sasa ni mkuki kwa nguruwe pia tff kwa kuzuiliwa kuutumia uwanja wa taifa nao wanakosa kipato na wala siyo kuziumiza timu ila nao ni ujumbe tosha kuwa hawawezi kuongoza mpira wa tanzania ndiyo maana tunaajiri makocha kila leo na hatufiki mbali kutokana na viongozi kuwa na unazi wa uyanga yanga.Kwa upande wa serikali naomba ukipewa jukumu la kitaifa basi simamia utaifa pia naiomba serikali iiadhibu pia na tff kwa kushindwa kusoma alama za nyakati kwani si mara ya kwanza kwa tff kufanya makosa haya na badala yake wanaadhibiwa timu kwa makosa ya tff nafikiri pia wadau walishauri kuwa kwa mechi kama hizi waje marefarii kutoka nje wasiojua simba wala yanga

Amini nakuambia,Simba mtaanza kushikana uchawi sio muda mrefu mkianza safari za mikoani. Huu mpira wa magazeti ndio unaotuaribu Simba na Yanga. Tungoje huko mkoani tuone mlolongo wa malalamiko kwa marefa na tff. Natamani safari hii Simba nae apate nafasi pia ya kuiwakilisha nchi ili tushuhudie uzoefu wao wa kucheza na historia.
 
unajua watz tuna shida snki ukweli coz kuna uhusiano gani kati ya goli la Tambwe na viti?? hivi ni mara ya kwanza goli kufungwa tena kwa mkono katika ulimwengu wa soka??hivi tunawezaje kumlaumu refa kwa kila jambo kwani yeye si binadamu??mfano golila Ajibu aliyesema sio goli ni mshika kibendera wa upande ule kuwaaliotea kitu ambacho kinasadikika haikuwa ameotea sasa kwanini tumlaumu sanya??Afu goli la Tambwe refa alikuwa karibu lkn kwa alivyogeuka Tambwe ni sekunde ilikuwa so kuona moja kwa moja kama aliunawa ule mpira ilikuwa ngumu so tusilaumu sana tukashindwa kufanya mambo ya maendeleo.
Isitoshe jiulizeni ile ilikuwa ni.mpira kufuata mkono au mkono ulifuata mpira???
so tuache kulalamika lalamika tujipange kisoka matokeo hayabadiliki tutabaki tunalalamika tuuu hata maradona alifunga kwa mkono na kombe la dunia kabeba.

Wanadhani haya mambo yameanza jana hawajui makosa ya refa na wachezaji ndio miongoni mwa radha za soka duniani.

mkono.JPG
 
SIMBA SPORTS CLUB
DAR ES SALAAM
2-10-2016

TAARIFA KWA UMMA

Kwa masikitiko makubwa klabu ya Simba imesikitishwa sana na vitendo vilivyofanywa na baadhi ya washabiki wetu,cha kuvunja sehemu ya viti vya Uwanja wa Taifa.kitendo kilichotokea jana kwenye mchezo wetu wa Ligi kuu dhidi ya Timu ya Yanga.

Tungependa kuomba radhi kwa kadhia hii na klabu imekubali kulipia gharama za uharibifu huu.
Klabu itazungumza na wamiliki wa Uwanja huu kuona inalipaje gharama hizo.
Ni mategemeo yeti kuona jambo hili halitajikoze tena.

Lakini mbali na hayo klabu kesho Jumatatu itawasilisha malalamiko rasmi juu ya uchezeshaji mbovu wa waamuzi wa mchezo wa jana,hususan Mwamuzi wa kati Martin Sanya.

Sisi tunaamini vitendo viovu vilivyofanywa na washabiki wetu vilisababishwa na uamuzi wa hovyo kupita kiasi uliosababishwa na waamuzi hao.

Haieleweki ni kigezo gani mwamuzi huyo alitumia kulikubali goli la 'mpira wa pete'la mshambuliaji wa Yanga Amisi Tambwe na kulikataa goli halali la mshambuliaji wetu Ibrahim Ajibu.

Pia tumeshangazwa na kitendo cha kumpa kadi nyekundu nahodha wetu Jonas Mkude.ilhali kama nahodha alimfata kwenda kumlalamikia kitendo chake cha kukubali goli la 'hovyo 'la Tambwe.
Sote tumeona Sanya alijikwaa wakati anarudi nyuma na kuanguka,kisha kuanguka na kutoa kadi nyekundu kwa Mkude.

Kimsingi huyu mwamuzi ana historia ovu ya kuwabeba Yanga.
Hakuna asiyesahau msimu uliopita kwenye kombe la Shirikisho,Yanga walipocheza na Coastal Union kule Mkwakwani Tanga.nini kilitokea!

Tunajua safari hii Tff na bodi ya Ligi zitatoa adhabu kali kwa waamuzi hawa ili iwe fundisho kwa maamuzi ya hovyo ya aina hii.

Pia klabu italalamika kitendo cha vyumba vyetu vya kubadilishia nguo(dressing room)kupuliziwa dawa zilizokuwa na nia ya kuwaathiri wachezaji wetu kabla ya mechi kuanza.

Tutaziomba mamlaka zifanye uchunguzi wa kina kubaini kitendo hiki kisicho cha kiungwana kinachosadikiwa kufanywa na wapinzani wetu.
Tunajua dhamira yao ni kuwafanya wachezaji wetu wachoke,lakini timu yetu ya Matabibu ilichukua hatua sahihi za kuwafanya wachezaji wetu waweze kumaliza dakika Tisini za mchezo kwa uwezo na weledi mkubwa.

Na mwisho klabu itoe malalamiko yake kwa Waziri wa mambo ya nchi,Mh Mwigulu Nchemba.

Waziri huyu bila shaka amesahau majukumu yake yake ya kazi na kugeuka kiongozi wa klabu ya Yanga.

Tunajua ni haki yake kuwa na mapenzi kwa klabu aliyoichagua.lakini vitendo vyake anavyovifanya vinaacha maswali mengi kuliko majibu.ukizingatia nafasi yake kama Waziri mwenye dhamana ya kuongoza Wizara nyeti.

Itakumbukwa majuzi waziri huyu alifanya ziara Mkoani Morogoro kuzungumza na vikosi anavyoviongoza.
Na inajulikana pia Refarii wa mchezo wa jana Martin Sanya ni mwajiriwa wa Jeshi la Magereza mkoani Morogoro

Sote tulishuhudia Jana Mwigulu alishangilia goli la hovyo la mwajiriwa wake Sanya.

Pia waziri huyu alitoa kauli tata kuwa angetamani siku moja klabu inayoshangilia wapinzani wa Yanga wakipigwa mabomu ya machozi na Askari wa jeshi la Polisi.
Kauli hii aliitoa wakati wa sherehe za kukabidhi zawadi kwa timu zilizoshinda msimu uliopita zilizoandaliwa na wadhamini wa ligi.kampuni ya Vodacom.

Tunajiuliza yale mabomu ya jana pale Uwanja wa Taifa ndio utekelezaji wa maagizo ya boss Mwigulu?

Lakini pia matumizi ya rasilimali za umma yakiwemo magari ya serikali ktk shughuli za mara kwa mara za klabu ya Yanga napo kunaacha maswali mengi mno.

Wanasimba wanauliza kila Waziri anayeshabikia Simba akiwepo Waziri Mkuu akifanya vitendo hivi kutakuwa na utawala gani serikalini?

Imani yetu viongozi wakuu wa nchi watamuonya mh Mwigulu,vingenevyo atatengeneza chuki baina ya washabiki wa Simba dhidi ya serikali yao.
Mwigulu atambue klabu ya Simba ina mamilioni ya washabiki kama ilivyo klabu yake anayoishabikia.

Hatutarajii kuona 'mahaba'yake yasio na staha yanachochea jambo ovu kwa wanasimba na serikali yao wanayoiamini na kuipenda sana.

IMETOLEWA NA
KLABU YA SIMBA

SIMBA NGUVU MOJA


Sina hakika na aliyeandika taarifa hii kwa maana ya kiongozi aliyehusika....lakini ni dhahiri kwa yeyote aliyeandika kiwango chake cha elimu, uelewa wa issues ni cha chini kabisa....Ni aibu kwa uongozi wa Simba kutoa taarifa iliyoandikwa kwa kiwango hiki...Hata kama Simba wanaweza kuwa na hoja lakini hoja hiyo haiwezi kuwekwa kwa kiwango hiki....
 
ni mtu mpuuzi tu ambaye atasapoti maamuzi ya refa Wa hovyo kuwahi kutokea katika nchi yetu ...refa Wa hovyo sana..hata ligi ya mchangani ya (kuku) hawezi kuchezesha hovyo kabisa...hovyo kabisa..

na Yanga mshukuruni huyo refa wenu la sivyo goli 5 zingejirudia
 
Kwenye comments nyingi hapa utagundua kuwa ushabiki bado unaendelea badala ya kujikita kwenye hoja
 
SIMBA SPORTS CLUB
DAR ES SALAAM
2-10-2016

TAARIFA KWA UMMA

Kwa masikitiko makubwa klabu ya Simba imesikitishwa sana na vitendo vilivyofanywa na baadhi ya washabiki wetu,cha kuvunja sehemu ya viti vya Uwanja wa Taifa.kitendo kilichotokea jana kwenye mchezo wetu wa Ligi kuu dhidi ya Timu ya Yanga.

Tungependa kuomba radhi kwa kadhia hii na klabu imekubali kulipia gharama za uharibifu huu.
Klabu itazungumza na wamiliki wa Uwanja huu kuona inalipaje gharama hizo.
Ni mategemeo yeti kuona jambo hili halitajikoze tena.

Lakini mbali na hayo klabu kesho Jumatatu itawasilisha malalamiko rasmi juu ya uchezeshaji mbovu wa waamuzi wa mchezo wa jana,hususan Mwamuzi wa kati Martin Sanya.

Sisi tunaamini vitendo viovu vilivyofanywa na washabiki wetu vilisababishwa na uamuzi wa hovyo kupita kiasi uliosababishwa na waamuzi hao.

Haieleweki ni kigezo gani mwamuzi huyo alitumia kulikubali goli la 'mpira wa pete'la mshambuliaji wa Yanga Amisi Tambwe na kulikataa goli halali la mshambuliaji wetu Ibrahim Ajibu.

Pia tumeshangazwa na kitendo cha kumpa kadi nyekundu nahodha wetu Jonas Mkude.ilhali kama nahodha alimfata kwenda kumlalamikia kitendo chake cha kukubali goli la 'hovyo 'la Tambwe.
Sote tumeona Sanya alijikwaa wakati anarudi nyuma na kuanguka,kisha kuanguka na kutoa kadi nyekundu kwa Mkude.

Kimsingi huyu mwamuzi ana historia ovu ya kuwabeba Yanga.
Hakuna asiyesahau msimu uliopita kwenye kombe la Shirikisho,Yanga walipocheza na Coastal Union kule Mkwakwani Tanga.nini kilitokea!

Tunajua safari hii Tff na bodi ya Ligi zitatoa adhabu kali kwa waamuzi hawa ili iwe fundisho kwa maamuzi ya hovyo ya aina hii.

Pia klabu italalamika kitendo cha vyumba vyetu vya kubadilishia nguo(dressing room)kupuliziwa dawa zilizokuwa na nia ya kuwaathiri wachezaji wetu kabla ya mechi kuanza.

Tutaziomba mamlaka zifanye uchunguzi wa kina kubaini kitendo hiki kisicho cha kiungwana kinachosadikiwa kufanywa na wapinzani wetu.
Tunajua dhamira yao ni kuwafanya wachezaji wetu wachoke,lakini timu yetu ya Matabibu ilichukua hatua sahihi za kuwafanya wachezaji wetu waweze kumaliza dakika Tisini za mchezo kwa uwezo na weledi mkubwa.

Na mwisho klabu itoe malalamiko yake kwa Waziri wa mambo ya nchi,Mh Mwigulu Nchemba.

Waziri huyu bila shaka amesahau majukumu yake yake ya kazi na kugeuka kiongozi wa klabu ya Yanga.

Tunajua ni haki yake kuwa na mapenzi kwa klabu aliyoichagua.lakini vitendo vyake anavyovifanya vinaacha maswali mengi kuliko majibu.ukizingatia nafasi yake kama Waziri mwenye dhamana ya kuongoza Wizara nyeti.

Itakumbukwa majuzi waziri huyu alifanya ziara Mkoani Morogoro kuzungumza na vikosi anavyoviongoza.
Na inajulikana pia Refarii wa mchezo wa jana Martin Sanya ni mwajiriwa wa Jeshi la Magereza mkoani Morogoro

Sote tulishuhudia Jana Mwigulu alishangilia goli la hovyo la mwajiriwa wake Sanya.

Pia waziri huyu alitoa kauli tata kuwa angetamani siku moja klabu inayoshangilia wapinzani wa Yanga wakipigwa mabomu ya machozi na Askari wa jeshi la Polisi.
Kauli hii aliitoa wakati wa sherehe za kukabidhi zawadi kwa timu zilizoshinda msimu uliopita zilizoandaliwa na wadhamini wa ligi.kampuni ya Vodacom.

Tunajiuliza yale mabomu ya jana pale Uwanja wa Taifa ndio utekelezaji wa maagizo ya boss Mwigulu?

Lakini pia matumizi ya rasilimali za umma yakiwemo magari ya serikali ktk shughuli za mara kwa mara za klabu ya Yanga napo kunaacha maswali mengi mno.

Wanasimba wanauliza kila Waziri anayeshabikia Simba akiwepo Waziri Mkuu akifanya vitendo hivi kutakuwa na utawala gani serikalini?

Imani yetu viongozi wakuu wa nchi watamuonya mh Mwigulu,vingenevyo atatengeneza chuki baina ya washabiki wa Simba dhidi ya serikali yao.
Mwigulu atambue klabu ya Simba ina mamilioni ya washabiki kama ilivyo klabu yake anayoishabikia.

Hatutarajii kuona 'mahaba'yake yasio na staha yanachochea jambo ovu kwa wanasimba na serikali yao wanayoiamini na kuipenda sana.

IMETOLEWA NA
KLABU YA SIMBA

SIMBA NGUVU MOJA
Hahahaha kumbe naww simba eh
 
SIMBA SPORTS CLUB
DAR ES SALAAM
2-10-2016

TAARIFA KWA UMMA

Kwa masikitiko makubwa klabu ya Simba imesikitishwa sana na vitendo vilivyofanywa na baadhi ya washabiki wetu,cha kuvunja sehemu ya viti vya Uwanja wa Taifa.kitendo kilichotokea jana kwenye mchezo wetu wa Ligi kuu dhidi ya Timu ya Yanga.

Tungependa kuomba radhi kwa kadhia hii na klabu imekubali kulipia gharama za uharibifu huu.
Klabu itazungumza na wamiliki wa Uwanja huu kuona inalipaje gharama hizo.
Ni mategemeo yeti kuona jambo hili halitajikoze tena.

Lakini mbali na hayo klabu kesho Jumatatu itawasilisha malalamiko rasmi juu ya uchezeshaji mbovu wa waamuzi wa mchezo wa jana,hususan Mwamuzi wa kati Martin Sanya.

Sisi tunaamini vitendo viovu vilivyofanywa na washabiki wetu vilisababishwa na uamuzi wa hovyo kupita kiasi uliosababishwa na waamuzi hao.

Haieleweki ni kigezo gani mwamuzi huyo alitumia kulikubali goli la 'mpira wa pete'la mshambuliaji wa Yanga Amisi Tambwe na kulikataa goli halali la mshambuliaji wetu Ibrahim Ajibu.

Pia tumeshangazwa na kitendo cha kumpa kadi nyekundu nahodha wetu Jonas Mkude.ilhali kama nahodha alimfata kwenda kumlalamikia kitendo chake cha kukubali goli la 'hovyo 'la Tambwe.
Sote tumeona Sanya alijikwaa wakati anarudi nyuma na kuanguka,kisha kuanguka na kutoa kadi nyekundu kwa Mkude.

Kimsingi huyu mwamuzi ana historia ovu ya kuwabeba Yanga.
Hakuna asiyesahau msimu uliopita kwenye kombe la Shirikisho,Yanga walipocheza na Coastal Union kule Mkwakwani Tanga.nini kilitokea!

Tunajua safari hii Tff na bodi ya Ligi zitatoa adhabu kali kwa waamuzi hawa ili iwe fundisho kwa maamuzi ya hovyo ya aina hii.

Pia klabu italalamika kitendo cha vyumba vyetu vya kubadilishia nguo(dressing room)kupuliziwa dawa zilizokuwa na nia ya kuwaathiri wachezaji wetu kabla ya mechi kuanza.

Tutaziomba mamlaka zifanye uchunguzi wa kina kubaini kitendo hiki kisicho cha kiungwana kinachosadikiwa kufanywa na wapinzani wetu.
Tunajua dhamira yao ni kuwafanya wachezaji wetu wachoke,lakini timu yetu ya Matabibu ilichukua hatua sahihi za kuwafanya wachezaji wetu waweze kumaliza dakika Tisini za mchezo kwa uwezo na weledi mkubwa.

Na mwisho klabu itoe malalamiko yake kwa Waziri wa mambo ya nchi,Mh Mwigulu Nchemba.

Waziri huyu bila shaka amesahau majukumu yake yake ya kazi na kugeuka kiongozi wa klabu ya Yanga.

Tunajua ni haki yake kuwa na mapenzi kwa klabu aliyoichagua.lakini vitendo vyake anavyovifanya vinaacha maswali mengi kuliko majibu.ukizingatia nafasi yake kama Waziri mwenye dhamana ya kuongoza Wizara nyeti.

Itakumbukwa majuzi waziri huyu alifanya ziara Mkoani Morogoro kuzungumza na vikosi anavyoviongoza.
Na inajulikana pia Refarii wa mchezo wa jana Martin Sanya ni mwajiriwa wa Jeshi la Magereza mkoani Morogoro

Sote tulishuhudia Jana Mwigulu alishangilia goli la hovyo la mwajiriwa wake Sanya.

Pia waziri huyu alitoa kauli tata kuwa angetamani siku moja klabu inayoshangilia wapinzani wa Yanga wakipigwa mabomu ya machozi na Askari wa jeshi la Polisi.
Kauli hii aliitoa wakati wa sherehe za kukabidhi zawadi kwa timu zilizoshinda msimu uliopita zilizoandaliwa na wadhamini wa ligi.kampuni ya Vodacom.

Tunajiuliza yale mabomu ya jana pale Uwanja wa Taifa ndio utekelezaji wa maagizo ya boss Mwigulu?

Lakini pia matumizi ya rasilimali za umma yakiwemo magari ya serikali ktk shughuli za mara kwa mara za klabu ya Yanga napo kunaacha maswali mengi mno.

Wanasimba wanauliza kila Waziri anayeshabikia Simba akiwepo Waziri Mkuu akifanya vitendo hivi kutakuwa na utawala gani serikalini?

Imani yetu viongozi wakuu wa nchi watamuonya mh Mwigulu,vingenevyo atatengeneza chuki baina ya washabiki wa Simba dhidi ya serikali yao.
Mwigulu atambue klabu ya Simba ina mamilioni ya washabiki kama ilivyo klabu yake anayoishabikia.

Hatutarajii kuona 'mahaba'yake yasio na staha yanachochea jambo ovu kwa wanasimba na serikali yao wanayoiamini na kuipenda sana.

IMETOLEWA NA
KLABU YA SIMBA

SIMBA NGUVU MOJA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] like serious...
Hii barua sio kwa umma ,ni kwa mshikaji wa mwandishi..
Uandishi gani hivi ovyo kwa public...
Mwandishi kamix soka,siasa,chuki,povu,mapenz binafsi na hasira kasahau yanayotokea uwanjan yanabak uwanjan na kamat zake..
Public sympathy kwnye mpira hakunaga...
Jbu n moja..next time team yake wafunge goli la mpira wa pete
 
ni mtu mpuuzi tu ambaye atasapoti maamuzi ya refa Wa hovyo kuwahi kutokea katika nchi yetu ...refa Wa hovyo sana..hata ligi ya mchangani ya (kuku) hawezi kuchezesha hovyo kabisa...hovyo kabisa..

na Yanga mshukuruni huyo refa wenu la sivyo goli 5 zingejirudia

Punguza jazba mkuu,ni kweli refa kakosea tena sana tuu na tunawataka tff wamchukulie hatua stahiki ili makosa yapungue. Hoja hapa ni uvumilivu wa kimichezo ambao mashabiki walionyesha baada ya refa kukosea. Naamini zile vurugu zilichangia kuwatoa wachezaji mchezoni na kuwaathiri kisaikolojia. Mwenye uwezo ni mwenye uwezo tuu yangefungwa kumi pale na refa akalikataa moja ubao leo ungeendelea kusoma 1-9 mkuu. Michezo ni furaha, urafiki na afya bora.
 
ni mtu mpuuzi tu ambaye atasapoti maamuzi ya refa Wa hovyo kuwahi kutokea katika nchi yetu ...refa Wa hovyo sana..hata ligi ya mchangani ya (kuku) hawezi kuchezesha hovyo kabisa...hovyo kabisa..

na Yanga mshukuruni huyo refa wenu la sivyo goli 5 zingejirudia

Mmmmhhhhh
 
Baada ya miaka kadhaa ataomba ridhaa ya kuongoza nchi.

Tunaendelea kuwapima.
 
Kama huyu Jamaa ndiye alichezesha ile mechi ya Yanga na Coastal basi lazima TFF wahusike na hizo vurugu.

Sio mara ya kwanza timu moja kupoteza,lakini je ni mara zote hizo watu wanaanzisha vurugu? kama kulishakuwa na viashiria na wahusika kupuuzia kwa sababu zoa binafsi basi nao wahusishwe.
 
Simba ijifunze ustaarabu hii tabia ya kung'oa viti haikubaliki nashauri adhabu kali itolewe kwa simba lakini pia unafanya hayo kisa mpira umeguswa kwa mkono kisha goli kufungwa?? Ni aibu kwao kwani leo hii Arsenal imepata goli sekunde za mwisho dhidi ya burnley tena kwa kutumia mkono wa kosielny na hakuna hata shabiki aliyeharibu au kung'oa kiti hizi ni tabia za kihuni zinapaswa hatua kali zichukuliwe dhidi ya simba
 
Back
Top Bottom