Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio umeandika nini?Kuamka na hangover bila kula ndio madhara yake.Unaanzisha thread haina mbele wala nyuma.kama yapi?? league then wanafukuzwa??
ligi yanga walikuwa na shida nyingi sana then. hawa matapeli
Tumefikia makubaliano ya pande mbili...hukawahi kusikia hii kauli..sasa makubaliano ya pande mbili/zote utapeli unakujaje?2 years contract. doing few months
hahahaPira objective
jumapili sio mbaliTumefikia makubaliano ya pande mbili...hukawahi kusikia hii kauli..sasa makubaliano ya pande mbili/zote utapeli unakujaje?