Kanda, Mzamiru, Miraji hao ni majeruiGenta umerudi tulimisi sana ...habari zako kutoka Pemba,pale ilipokaribia Januari 4!
Upo sahihi ,hali ilivyo sasa ukikutana na washambuliaji wenye kasi kama huyo mayenu wa Yanga au hata Pastor Atanas ,...tutaishia kususa kama MO!
hATA MIMI SIELEWI TATIZO LA MLIPILI NI NINI!
Na huu mtindo wa kocha kutobadilisha kikosi hata kama mazingira ya ushindi ni magumu inashangaza! Juzi lile goli lilitokana na kazi mujarabu ya John Boko! Inakuwaje kila siku aanzie Benchi,yuko wapi Muzamir,Miraj,Keneddy Juma, Kanda !!!? Mfano juzi wakati timu ina mazingira magumu ilimhitaji mtu wa kukimbiza na kukaa na mpira na Dogo alikuwepo pale benchi.
Tukitoa mawazo mazuri mnasema kila Mtanzania ni kocha wa soka ilhali vitu vipo wazi kabisa!
Siamini kamam Matola ni msaidizi wa huyu Mzungu....siamini!
Sent using Jamii Forums mobile app