Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu chunguMbona pamoja na dhuluma ya timu ya Azam,Dodoma jiji, na juzi juz kubebwa Kwa coast union wala hawajawaza kwenda huko?
Hili la muhimu sana.Kabla hamjahama tukipige mechi moja ya kuagana na sisi MABINGWA WA KIHISTORIA, WAUME HALALI WA MAKOLO. Dar es salaam Young Africans
Viongozi wa Zanzibar tokea maponduzi ni Yanga laugh 🤣 na kwakuwa lawama za kufungwa mara nne mfululizo wameipa serikali ya CCM basi ni bora waamie ligi ya Burundi au ya Kenya, huko CCM haina influence.Za ndani saana, utaribu wa mageuzi makubwa ya kimpira utaanza baada ya dirisha dogo January. Club kubwa barani afrika inameanza hatua mahsusi za kuweka base kubwa ya kimpira visiwani Zanzibar.
Kandarasi hii na maamuzi haya yanakuja baada ya kubaini kuwa kuna wahuni wanaharibu mpira bara na hakuna anaeshuhulika nao kwa mana ya kudhibiti takataka zinazoendelea. Kikao cha usiku wa manane kimependekeza kuwa msimu ujao ni Zanzibar na kinaandaa taratibu za kualika timu zifuatazo katika ligi hiyo ya Zanzibar 1. Al hilal Omduman, Al merlek, Gormahia, Tasker, APR na Vital O ya Burundi.
Dhumuni la uamuzi huu ni kutimiza ndoto za kimashindano pasipo uswahili, kuchanganya mpira na siasa na maslahi ya wahuni wachache.
Nimekaa paleee mtaikumbuka post hii
Kabla hamjahama tukipige kimoja cha kuagana na YangaNi kweli kwamba sikubaliani na baadhi ya vitu kwenye ligi yetu lakini kufikiria kuhamisha timu ni uboya.
Viongozi wa simba acheni vitisho vya kishamba.
Tupambane hapa hapa mpaka tufikie malengo yetu.