KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Nimefikiria FBI,CIA kumbe Ni mashirika makubwa ya kichawi..😂Waache watu na maisha yao.kufatilia maisha ya watu ni uchawi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefikiria FBI,CIA kumbe Ni mashirika makubwa ya kichawi..😂Waache watu na maisha yao.kufatilia maisha ya watu ni uchawi.
Kwa maslahi ya US.ila wewe kwa ajili ya uchawi.Nimefikiria FBI,CIA kumbe Ni mashirika makubwa ya kichawi..[emoji23]
Hahahahhahahhhhh kajianika mwenyewe kufichua figisu za Mo Eti anatumia bilion 4 kulipa mishahara kumbe wapi Shibubu anapokea zake elfu saba kwa mwezi. Simba acheni unyonyaji Mungu anawaonaWaache watu na maisha yao.kufatilia maisha ya watu ni uchawi.
Daaaaaaah kweli nimefeli siku nyingine nitakushirikisha tuweke mambo sawaNingekuwa Mimi kichwa cha habari ningeandika "PICHA TOKA SUDANI KUSINI"..😅
Mweka mada hujui maneno ya figisu wewe na propaganda pole sana ila picha haujaitendea haki..😂
Tumalizane na hili kwanza hayo mengine siku nyingineTu nataka kujua UJENZI wa uwanja wa kigamboni umeishia wapi au ndo mmepisha kwanza corona ipite?
Shiboob ajawai kula bata kama anazokula Simba Sports Club.Hahahahhahahhhhh kajianika mwenyewe kufichua figisu za Mo Eti anatumia bilion 4 kulipa mishahara kumbe wapi Shibubu anapokea zake elfu saba kwa mwezi. Simba acheni unyonyaji Mungu anawaona
Haaaaahhhaah bata gani anayokula anakosa mpaka buku ya kununulia chanuo ya kuchania nyweleShiboob ajawai kula bata kama anazokula Simba Sports Club.
Simba ndo timu inayohudumia vizuri wachezaji East Africa.
Haaa,,,!!!!wewe jamaa utanivunja mbavu bwaashee.Life style yake tu hiyo.Haaaaahhhaah bata gani anayokula anakosa mpaka buku ya kununulia chanuo ya kuchania nywele
Hata kama analipwa vizuri, Mo hawezi kumlazimisha awajengee wazazi wake,hilo ni suala binafsi la mchezaji na familia yake.ni aibu mchezaji wa kimataifa kushindwa kuwajengea wazazi wake nyumba nzuri ya kuishi. Simba msimwonee Mo aibu mwambieni ukweli aache unyonyaji alipe vizuri wachezaji wenu