Simba Sports Club vunja mkataba wa Kapombe na Fredy Michael hawana viwango na duka lililobaki Simba ni Kapombe

Simba Sports Club vunja mkataba wa Kapombe na Fredy Michael hawana viwango na duka lililobaki Simba ni Kapombe

bahatibahati

Member
Joined
Jul 4, 2023
Posts
44
Reaction score
84
Viongozi simba sports club VUNJA mkataba wa KAPOMBE na FREDY Michael, VIWANGO gyao ni vidogo kwa Sasa.

KAPOMBE ameichezea Simba kwa muda mrefu Sasa, kinachotakiwa ni kumpa mkono wa kwaheri Ili kulinda heshima yake.

Aidha KAPOMBE Hilo ni duka pia ambalo lilisababisha tusichukue ubingwa.
 
Viongozi simba sports club VUNJA mkataba wa KAPOMBE na FREDY Michael, VIWANGO gyao ni vidogo kwa Sasa.

KAPOMBE ameichezea Simba kwa muda mrefu Sasa, kinachotakiwa ni kumpa mkono wa kwaheri Ili kulinda heshima yake.

Aidha KAPOMBE Hilo ni duka pia ambalo lilisababisha tusichukue ubingwa.
Umesahau Matola
 
Hapo kwa fred unatuingiza chaka.

Jamaa ni pure striker no 9.

Simba msiingie kwenye mfumo wa utopolo.

Fred apewe muda.
 
Back
Top Bottom