dakika ya nne simba anaongoza kwa goli moja
Asante mkuu,tunaomba waichape Yanga magoli zaidi ya watakavyopata nafasiokwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
simba 4 - yanga 0
Simba 5:Yanga 0
Simba rahaaaaaaaaaa........!!!!!
Dah!!!.....
Hii ni FEDHEHA sasa.....
Watani hamna hata HURUMA kwa Mgonjwa?........Vibaya hivyo....
Btw....Tunastahili aina yoyote ya KIPIGO kutoka kwa SIMBA...
Hongereni sana Watani kwa ushindi huu mnono ambao utachagiza upokeaji wa Kombe la Ubingwa wa EPL.....
Kweli nimeamini(mwaka 2011/2012) aungurumapo Simba mcheza nani?........Tunajipanga nasi mwakani.....
Kila la heri katika CAF CL........
Tusinyimane mualiko na kadi ya sherehe ya UBINGWA jamani...
Bala.
Dah!!!.....
Hii ni FEDHEHA sasa.....
Watani hamna hata HURUMA kwa Mgonjwa?........Vibaya hivyo....
Btw....Tunastahili aina yoyote ya KIPIGO kutoka kwa SIMBA...
Hongereni sana Watani kwa ushindi huu mnono ambao utachagiza upokeaji wa Kombe la Ubingwa wa EPL.....
Kweli nimeamini(mwaka 2011/2012) aungurumapo Simba mcheza nani?........Tunajipanga nasi mwakani.....
Kila la heri katika CAF CL........
Tusinyimane mualiko na kadi ya sherehe ya UBINGWA jamani...
Bala.