born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,336
- 1,491
Walitoka 1-1 kwahiyo mpaka sasa gape Kati yao na sisi ni point 6.Alishinda jana Azam??
Kaeni chini mjiulize, tulianza pamoja bila pointi yoyote, ilikuwaje ninyi mkalitengeneza au mkatengenezewa hilo gap? Kama ilivyokuwa vigumu kulitengeneza au kutengenezewa hilo gap ndivyo ilivyo vigumu kuliondoa gap hilo. Mtasubiri sana, gap haliondoki hadi mwisho wa ligi. Mtabaki hapo hapo nafasi yenu ya tatu.Walitoka 1-1 kwahiyo mpaka sasa gape Kati yao na sisi ni point 6.
Kitaeleweka tu
...wacha kulia lia kwenye nyumba za watu,kwani imeandikwa wapi ukiongoza kabla ligi kwisha lazima uwe bingwa?!Kaeni chini mjiulize, tulianza pamoja bila pointi yoyote, ilikuwaje ninyi mkalitengeneza au mkatengenezewa hilo gap? Kama ilivyokuwa vigumu kulitengeneza au kutengenezewa hilo gap ndivyo ilivyo vigumu kuliondoa gap hilo. Mtasubiri sana, gap haliondoki hadi mwisho wa ligi. Mtabaki hapo hapo nafasi yenu ya tatu.
We subiri acha kuweweseka hapa, baada ya round 5 zijazo rudi hapa tena uone.Kaeni chini mjiulize, tulianza pamoja bila pointi yoyote, ilikuwaje ninyi mkalitengeneza au mkatengenezewa hilo gap? Kama ilivyokuwa vigumu kulitengeneza au kutengenezewa hilo gap ndivyo ilivyo vigumu kuliondoa gap hilo. Mtasubiri sana, gap haliondoki hadi mwisho wa ligi. Mtabaki hapo hapo nafasi yenu ya tatu.
litaondoka mkikutana na tukikutana...Kaeni chini mjiulize, tulianza pamoja bila pointi yoyote, ilikuwaje ninyi mkalitengeneza au mkatengenezewa hilo gap? Kama ilivyokuwa vigumu kulitengeneza au kutengenezewa hilo gap ndivyo ilivyo vigumu kuliondoa gap hilo. Mtasubiri sana, gap haliondoki hadi mwisho wa ligi. Mtabaki hapo hapo nafasi yenu ya tatu.
wamefanya kupewa penalty mbili ili wapate goli...Simba nguvu moja leo wakimataifa almanusura watoe sare
Skuangalia gem yaowamefanya kupewa penalty mbili ili wapate goli...
Kwani manunuzi hakuna mpaka watoe sare au mkuu hukuona mvua ya matuta iliyokuwa ikitolewa na mwamuzi.Simba nguvu moja leo wakimataifa almanusura watoe sare
Hahaaa nouma mkuuMavuvuzela yote yamezima wakati mnyama akitafuna bunduki, buti na magwanda yote kambini.