Nyie mikia fc mpo? Nawapa salam october 28 karibuni mvunje tena viti.
 
Nyie mikia fc mpo? Nawapa salam october 28 karibuni mvunje tena viti.
 
Uzi huu Ni maalumu kwa wanachama,mashabiki Na wapenzi wa timu ya Simba kujadili masuala ya timu Na kupeana taarifa za klabu.
 
Sio sahihi kuweka uzi huu hapa. Kumbuka masuala ya klabu ni siri ya wana-klabu. Hapa sio kila mtu ni Simba nakushauri ingia katika magrupu mbalimbali ya wnachama huko utakuwa sahihi kujadili kila kitu
 
Sio sahihi kuweka uzi huu hapa. Kumbuka masuala ya klabu ni siri ya wana-klabu. Hapa sio kila mtu ni Simba nakushauri ingia katika magrupu mbalimbali ya wnachama huko utakuwa sahihi kujadili kila kitu
nitajie huku jf Kama Kuna group la msimbazi. Najua yako whatsapp ila sio humu jf so sio mbaya nasi tukiwa Na platform yetu
 
nitajie huku jf Kama Kuna group la msimbazi. Najua yako whatsapp ila sio humu jf so sio mbaya nasi tukiwa Na platform yetu
Humu Jf Jukwaa la sports Kuna Special thread ya Simba, washabiki tupo Huko, itafute kwenye stickes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…