unafaidika nini ukiiombea Simba mabalaaNAWATAKIENI MABALAA HUKO CONGO,MFUNGWE HADI MIMI NIOGOPE KUJITAMBULISHA KWA WAGENI KAMA NATOKEA TANZANIA!!
Hata sisi tukiwa nje ya nchi tunaogopa kutaja tunatokea Tanzania maana madeni ya utopolo kwa wachezaji tunaweza kusakiziwaNAWATAKIENI MABALAA HUKO CONGO,MFUNGWE HADI MIMI NIOGOPE KUJITAMBULISHA KWA WAGENI KAMA NATOKEA TANZANIA!!
Haswaa.Kipindi cha pili ni muhimu nafikiri simba wataanza kufunguka wakiwa na washambuliaji wawili
Myama kamla mtu kichwa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Mungu ibariki simba.Mungu ibariki TanzaniaSecond halfView attachment 1701107
asante. ila hatuna utani na utopolo, watani wetu ni kama al ahaly, tp mazembe etcHongera mtani