***** zao kumbe wanamazoea ya kusfiiwa, Baada ya kuvurunda jumapili, Leo wanajituma, Tumepata ushindi. Wasichekewe tuwaambie Tunaumia ,NGUVU MOJa🦾🦾🦾

Sent from my Nokia C1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Simba inatakiwa wawapige hawa watu 5 leo.

Nahisi baada ya mechi za Yanga kuna juhudi zinafanywa ili simba afungwe au apate sare,hili walitambue
 
Kaaz kweikwei tatizo cocha,wachezaji au viongoz wa clab?
 
Timu yetu bhana, Mo anashangilia tuu timu kufanya vizuri Instagram na sio uwanjani
 
Sasa kocha anapewa maelekezo na Erasto Nyoni unategemea nini[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Msimu uliopita mechi nne pointi nne

Msimu huu mechi nne pointi nane
Tumeimarika sana safari hii ni wachezaji kukubali tu no chama no luis wacheze mpira...
 
Au tuwaazime nchimbi na mukoko nadhani itawaboost maana sisi hatuwatumii saiv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…