Simba tafadhali msimchukue yule kocha wa Mamelodi, please mtajuta sana

Simba tafadhali msimchukue yule kocha wa Mamelodi, please mtajuta sana

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Litakuwa kosa kubwa la karne narudia tena kosa kubwa mnoooo Mookoena huyo wa south africa au kocha yoyote msouth affrica hafai kabisa nasikia Pitso Mosimane kampigia pande hapo, do not hire him.

Wa south africa haswa weusi wanatudharau sana , hata mitandaoni ukiona jinsi wanavyokandia leagues zetu huku sub saharan africa au viwanja vyetu utashangaa sana halafu pia ni walalamishi sana.

Trust me mlisema Uchebe mjeuri huyu ndiye kocha ambaye kama mtamuajiri ataondoka simba kwa matusi na kashfa ambazo baada ya hapo mtaingia uvunguni kwa aibu.

Kingine kikubwa HIVI MMESAHU SENZO YUKO UPANDE WAPILI NA MNALETA M SAUZI HAPO? nyie viongozi jamani, mmekuwa wabishi kwenye kukataa kufanya mazoezi yasiyo ya wazi, mmekuwa wabishi na kamati za ufundi mnaenda kizunguzungu HATA HILI LA MOKOENA MKIINGIA MTEGO MMEKWISHA.

KAMA MMEKOSA KOCHA KAMUOMBENI SUNDAY KAYUNI OTHERWISE RUDINI EASTERN EUROPE.
 
Hapo kwa Sunday Kayuni umechemsha ila makocha wapi wengi huyo mouth hatufai
Nimemuweka kama mfano hasi kusisitiza kwamba waache kuwa desperate kiasi hiko wakimleta m sauzi yoyote hapa senzo atachekelea sana kitatokea kitu cha ajabu sana katika historia ya simba na wasauzi wanachionga sana ngenga.
 
nil
Huyo kocha sidhani kama watamuweza maana mshahara wake tu unacheza kwenye million120- 130 kwa mwezi
niliangalia list ya mshahara south siyo hivyo hata kwa usd 13,000 aliyokuwa analipwa Gomez kwa south africa angeshika nafasi ya 11 kwa malipo makubwa
 
Nimemuweka kama mfano hasi kusisitiza kwamba waache kuwa desperate kiasi hiko wakimleta m sauzi yoyote hapa senzo atachekelea sana kitatokea kitu cha ajabu sana katika historia ya simba na wasauzi wanachionga sana ngenga.

Kwaiyo Senzo nae "anachonga sana" na hakupaswa kuwapo hapa Tanzania ?

Nimeuliza hivyo kwa sababu hata Senzo nayeye ni "msauzi" vilevile
 
Litakuwa kosa kubwa la karne narudia tena kosa kubwa mnoooo Mookoena huyo wa south africa au kocha yoyote msouth affrica hafai kabisa nasikia Pitso Mosimane kampigia pande hapo, do not hire him.

Wa south africa haswa weusi wanatudharau sana , hata mitandaoni ukiona jinsi wanavyokandia leagues zetu huku sub saharan africa au viwanja vyetu utashangaa sana halafu pia ni walalamishi sana.

Trust me mlisema Uchebe mjeuri huyu ndiye kocha ambaye kama mtamuajiri ataondoka simba kwa matusi na kashfa ambazo baada ya hapo mtaingia uvunguni kwa aibu.

Kingine kikubwa HIVI MMESAHU SENZO YUKO UPANDE WAPILI NA MNALETA M SAUZI HAPO? nyie viongozi jamani, mmekuwa wabishi kwenye kukataa kufanya mazoezi yasiyo ya wazi, mmekuwa wabishi na kamati za ufundi mnaenda kizunguzungu HATA HILI LA MOKOENA MKIINGIA MTEGO MMEKWISHA.

KAMA MMEKOSA KOCHA KAMUOMBENI SUNDAY KAYUNI OTHERWISE RUDINI EASTERN EUROPE.
Unachotaka kusema ni kwamba kwa sababu Senzo yuko "upande wa pili" basi Mokoena akija hatowafaa Simba kwa sababu atakua anachukua maagizo toka kwa Senzo ?

Mokoena "kama kocha" unamuonaje ? Nadhani hili ndio jambo la msingi zaidi kulijadili.
 
Hoja mfu sana hii ,hakuna kocha mzuri ambaye yupo tayari kuishusha cv yake ukizingatia bado kinda kabisa kwenye game
Huyu anatufaa sana hoja za kujuana na Senzo tupa kule
 
Litakuwa kosa kubwa la karne narudia tena kosa kubwa mnoooo Mookoena huyo wa south africa au kocha yoyote msouth affrica hafai kabisa nasikia Pitso Mosimane kampigia pande hapo, do not hire him.

Wa south africa haswa weusi wanatudharau sana , hata mitandaoni ukiona jinsi wanavyokandia leagues zetu huku sub saharan africa au viwanja vyetu utashangaa sana halafu pia ni walalamishi sana.

Trust me mlisema Uchebe mjeuri huyu ndiye kocha ambaye kama mtamuajiri ataondoka simba kwa matusi na kashfa ambazo baada ya hapo mtaingia uvunguni kwa aibu.

Kingine kikubwa HIVI MMESAHU SENZO YUKO UPANDE WAPILI NA MNALETA M SAUZI HAPO? nyie viongozi jamani, mmekuwa wabishi kwenye kukataa kufanya mazoezi yasiyo ya wazi, mmekuwa wabishi na kamati za ufundi mnaenda kizunguzungu HATA HILI LA MOKOENA MKIINGIA MTEGO MMEKWISHA.

KAMA MMEKOSA KOCHA KAMUOMBENI SUNDAY KAYUNI OTHERWISE RUDINI EASTERN EUROPE.
Kwanza hawawezi kunlipa mshahara huyo kocha,kwanza fahamu barbra ashatoka sio c.e.o tena wa simba

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom