Hata kule ulaya mechi za katikati ya wiki huwa zinachezwa usiku tofauti na za week end ili kuwapa mashabiki wengi kuburudika.Sasa nyinyi mechi za katikati ya wiki mnacheza saa kumi jioni hii mnapelekea kujipunguzia mapato na kuwanyima burudani mashabiki wengi Kutokana na muda huo kuwa vibaruani.
Angalau saa 11 au 12 jioni sio mbaya Kwa muda huo mechi kuanza.
Angalau saa 11 au 12 jioni sio mbaya Kwa muda huo mechi kuanza.