Simba tengenezeni rekodi yenu ya kuuza mchezaji bei ghali kumzidi Mayele

Simba tengenezeni rekodi yenu ya kuuza mchezaji bei ghali kumzidi Mayele

Abuu Kauthar

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2011
Posts
4,296
Reaction score
6,492
Siku za hivi karibuni tumezoea kuwaona wazee wa Robo Fainali CAF aka mwakalobo aka kolowizad aka boss wa kununanuna wakipika data mbalimbali ili tu wawapiku wapinzani wao wa jadi ambao kwa sasa ndio talk of the country, Yanga.

Sasa inasemekama Mayele kauzwa kwa takribani 2.8B, record ambayo awali haikuwepo. Sasa makolo kama kawaida yenu tafuteni garasa moja pale ukoloni mumuuze kwa bil6, hasa hasa nawashauri mumrudishe Onyango, halafu mumuuze tena ili twende sawa.

Nawasilisha.
 
Siku za hivi karibuni tumezoea kuwaona wazee wa Robo Fainali CAF aka mwakalobo aka kolowizad aka boss wa kununanuna wakipika data mbalimbali ili tu wawapiku wapinzani wao wa jadi ambao kwa sasa ndio talk of the country, Yanga.

Sasa inasemekama Mayele kauzwa kwa takribani 2.8B, record ambayo awali haikuwepo. Sasa makolo kama kawaida yenu tafuteni garasa moja pale ukoloni mumuuze kwa bil6, hasa hasa nawashauri mumrudishe Onyango, halafu mumuuze tena ili twende sawa.

Nawasilisha.
Shida inaanzia hapo..Inasemekana.....haya ngoja nikusaidie...euro laki mbili na nusu ni shilingi ngapi?
 
Hakuna mchezaji wa kuuzwa B2.8 hapo, mchezaji amekataa kuendelea kubaki yanga ili kuwapoza machungu mashabiki wa utopolo ndo wameamua kuja na huo uongo..

NB: manara apewe maua yake
Kwa Dunia ya sasa ya teknolojia huwezi kudanganya...ingia tovuti ya Pyramids tayari wameshaweka bei waliyomnunulia
 
Mkuu nisaidie hiyo tovuti ya club ili niwaoneshe watu hiyo amount
Screenshot_20230717-090517.png
 
Sasa mkuu hiyo si market value tu ambayo haina uhusiano na bei ambayo mchezaji atanunuliwa, na ndomana hapo wamemkadiria kuwa bei yake ni 600M ila watu wanasema atanunuliwa kwa 2B

Kwa lugha nyepesi ni makadirio tu, ambayo wao waliondika wanaamini kuwa mayele ana thamani hiyo

Kingine, huo ni ukurasa wa transfer market, ni kwa ajili ya kuonesha makaridio ya thamani Kwa club na wachezaji, sasa mbona we unasema habari ipo kwenye tovuti ya pyramid mkuu?
 
Sawa..ila haiwezi kufika bilioni 2..tuache siasa
Sasa mkuu hiyo si market value tu ambayo haina uhusiano na bei ambayo mchezaji atanunuliwa, na ndomana hapo wamemkadiria kuwa bei yake ni 600M ila watu wanasema atanunuliwa kwa 2B

Kwa lugha nyepesi ni makadirio tu, ambayo wao waliondika wanaamini kuwa mayele ana thamani hiyo

Kingine, huo ni ukurasa wa transfer market, ni kwa ajili ya kuonesha makaridio ya thamani Kwa club na wachezaji, sasa mbona we unasema habari ipo kwenye tovuti ya pyramid mkuu?
 
Back
Top Bottom