Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
- Thread starter
- #21
Unateseka ukiwa wapi?Sawa..ila haiwezi kufika bilioni 2..tuache siasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unateseka ukiwa wapi?Sawa..ila haiwezi kufika bilioni 2..tuache siasa
Makolo wazee wa kupika data sasa hivi wapo studio wanaandaa kichekesho kipya mjiniDola lako 9 kwa andunje huyo? Tuwage serious japo kidogo aisee....
Hujaona hapoMakolo wazee wa kupika data sasa hivi wapo studio wanaandaa kichekesho kipya mjini
Wewe source yako kuhusu habari za Mayele iko wapi?Hahaha uongo, leta source
Siku za hivi karibuni tumezoea kuwaona wazee wa Robo Fainali CAF aka mwakalobo aka kolowizad aka boss wa kununanuna wakipika data mbalimbali ili tu wawapiku wapinzani wao wa jadi ambao kwa sasa ndio talk of the country, Yanga.
Sasa inasemekama Mayele kauzwa kwa takribani 2.8B, record ambayo awali haikuwepo. Sasa makolo kama kawaida yenu tafuteni garasa moja pale ukoloni mumuuze kwa bil6, hasa hasa nawashauri mumrudishe Onyango, halafu mumuuze tena ili twende sawa.
Nawasilisha.
Tutawazagumua wenyeweMayele ndiyo hivyo tena. Sasa nyie Mashabiki wa utopolo wa kiume mliokuwa mnaomba Mungu awababadilishe jinsi muwe wa kike ili mmzalie mayele watoto itakuwaje?
Siku za hivi karibuni tumezoea kuwaona wazee wa Robo Fainali CAF aka mwakalobo aka kolowizad aka boss wa kununanuna wakipika data mbalimbali ili tu wawapiku wapinzani wao wa jadi ambao kwa sasa ndio talk of the country, Yanga.
Sasa inasemekama Mayele kauzwa kwa takribani 2.8B, record ambayo awali haikuwepo. Sasa makolo kama kawaida yenu tafuteni garasa moja pale ukoloni mumuuze kwa bil6, hasa hasa nawashauri mumrudishe Onyango, halafu mumuuze tena ili twende sawa.
Nawasilisha.
Japo hapo kwa Mayele tumepigwaHahaha uongo, leta source
Kwani wana nunua kimo au uwezo uwanjani?Dola lako 9 kwa andunje huyo? Tuwage serious japo kidogo aisee....
Pyramid FC! Imagine!Hakuna mchezaji wa kuuzwa B2.8 hapo, mchezaji amekataa kuendelea kubaki yanga ili kuwapoza machungu mashabiki wa utopolo ndo wameamua kuja na huo uongo..
NB: manara apewe maua yake
Duh!...Japo hapo kwa Mayele tumepigwaView attachment 2691267
Japo hapo kwa Mayele tumepigwaView attachment 2691267