Simba Timu Bora Tanzania 2023

Bila Simba, Tanzania leo hii tusingekuwa na uwakilishi wowote katika mashindano makubwa zaidi ya vilabu Afrika.

Tusingekuwa na uwakilishi kwenye Champions League toka mwaka jana mwezi wa Octoba, karibu miezi 6 iliyopita. Imagine Tanzania tusiwe na Ubalozi UN au AU kwa miezi 6.
 
Umeweka Facts..

Lkn Utopolo Watasema Kule CAF Kuna Mwana Simba Mwanahabari...!

Subiri Uone,
 
Reactions: ITR
Mimi naona Yanga ni Bora kuliko Simba 2023


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…