Mamluki huyo wenyee simbaa yao hawapigagii kelele za Simba mbovu ,ukimuuliza ubovu upo wap ety wanashinda goli moja, wachezaji hawajitumi ingali juzi mtibwa kala tano mnatakaa mshndee kilaa cku tano tano ili iwejee ss,C kila cku ni Cku nzuri kazini.Nimeamini Ngada zimeshawaharibu akili aisee.. mbona huyo sembe mwenzenu kaelezea performance ya Simba sio nzuri ndio maana haipat matokeo chanya, vipi sembe la leo ni la kutoka Colombia??
Hakuna kitu kama hicho timu yenu mbovu ni kweli mlikua bora miaka minne nyuma ila sio sasa hivi wachezaji waliowapa heshima wengi umri umeenda viwango vimeshuka na kwa miaka miwili mfululizo kwa asilimia kubwa mmefanya usajiri wa ovyo na nakuhakikishia nbc premier league safari hii hamuingii top 2.. piga screen shot hii comment yangu tukutane ligi ikiishaKutokuwafungaa hao waliopo top4 ndio timu dhaifu cyoo??CAF n njia gan rahic tumepitiaa hatukuchezaa na timu yyt au unazungumziaa urahic gan ww??Simba n imara na ipo ktk mapambano n vile tu unaiona yangaa Ina shine hvyo unaisahau timu yako Simba,ila Simba itakushangaza muda c mrefu na kelelee zako zitaishaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajawahi kujibu ilo swaliMi pia swali ninalowauliza ngada sc wanapokuja na hoja ya sisi kununua mechi ni je na nyie hua mnapokea bahasha zetu maana tunawagongesha sana kwa siku za karibuni
Mtazamo wako huo ilaa tutakushangazaa na utaaminii n swalaa la mudaaaHakuna kitu kama hicho timu yenu mbovu ni kweli mlikua bora miaka minne nyuma ila sio sasa hivi wachezaji waliowapa heshima wengi umri umeenda viwango vimeshuka na kwa miaka miwili mfululizo kwa asilimia kubwa mmefanya usajiri wa ovyo na nakuhakikishia nbc premier league safari hii hamuingii top 2.. piga screen shot hii comment yangu tukutane ligi ikiisha
Kikufungwa na YangaSimba ina timu mbaya kivipi...?//
Mkiambiwa ukweli mamluki.. mpira sio sexy inayofanywa baina ya watu wawili tu.. mpira unachezwa uwanjani na perfomance yenu tunaionaMamluki huyo wenyee simbaa yao hawapigagii kelele za Simba mbovu ,ukimuuliza ubovu upo wap ety wanashinda goli mojaa,wachezaji hawajitumi ingali juzi mtibwa kala tano mnatakaa mshndee kilaa cku tano tano ili iwejee ss,C kila cku ni Cku nzuri kazini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakataa halafu unakubali mwenyewe..!! Kifupi unajikontradikti..!! Unaposema suala la muda maana yake nini? Kwamba muda huu hamuwezi kitu mpo bize na ngadaMtazamo wako huo ilaa tutakushangazaa na utaaminii n swalaa la mudaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye bold, Simba hampigi kelele za Simba mbovu, bali mnapiga kelele za Yanga bahasha..!! Swali tunapowagonga nyie ambao si "wabovu", nanyi tunakuwa tumewapa bahasha na mkazipokea?Mamluki huyo wenyee simbaa yao hawapigagii kelele za Simba mbovu ,ukimuuliza ubovu upo wap ety wanashinda goli mojaa,wachezaji hawajitumi ingali juzi mtibwa kala tano mnatakaa mshndee kilaa cku tano tano ili iwejee ss,C kila cku ni Cku nzuri kazini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasemeaa hapo uliposemaaa hata nafac ya 2 hatushikii ,ndio namii nakwambiaaa kaa kwa kutuliaaa mudaa utaongeaa kulikoo ww unayebwabwajaa hapa...tukutanee mwisho wa ligi ndio ubwabwajee hayaaUnakataa halafu unakubali mwenyewe..!! Kifupi unajikontradikti..!! Unaposema suala la muda maana yake nini? Kwamba muda huu hamuwezi kitu mpo bize na ngada
Wana ngada mna shida kweli..!Nasemeaa hapo uliposemaaa hata nafac ya 2 hatushikii ,ndio namii nakwambiaaa kaa kwa kutuliaaa mudaa utaongeaa kulikoo ww unayebwabwajaa hapa...tukutanee mwisho wa ligi ndio ubwabwajee hayaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasiojuaa mpiraa ,wenyee mihemko wa Simba na yanga na mashabiki maandazii ndio wanazungumziaa bahashaa kwa hao wasimbaa ,ilaa mm mwana cmbaa ninayejua mpira sionii bahashaa yyt yangaa wanaitoaa maana kilaa timu inayoshiriki ligi inataka kuchukuaa ubingwaa kwann wafelishe mipango yao yakutwaa ubingwaa kisa milion 10 au 20n ujinga...Hapo kwenye bold, Simba hampigi kelele za Simba mbovu, bali mnapiga kelele za Yanga bahasha..!! Swali tunapowagonga nyie ambao si "wabovu", nanyi tunakuwa tumewapa bahasha na mkazipokea?
Hatunaa shdaa tupo ktk mapambano ....Wana ngada mna shida kweli..!
Bora umesema ukweli. Na mechi ijayo nasikia Yanga anacheza na Ihefu ambayo jana tu imetoka kupoteza kwa maafande wa Polisi kwa 1-2! Tena kwenye uwanja wao wa nyumbani.Imezuka kasumba kwa washabiki wengi kuwa timu zinanunua mechi. Ukichunguza Kwa makini utaona kundi kubwa la washabiki wa Simba ndio wanaongoza kulalamika.
Timu inayolalamika ni Yanga ila ukichunguza kiumakini zaidi utagundua Yanga inaperfomance ya hali ya juu kiasi cha wapinzani wake waonekane ni dhaifu.. hii inathibitishwa na Simba kutopata ushindi dhidi ya Yanga mechi 7 mfululizo zilizopita za ligi.
Simba ina wachezaji wengi mizigo wasioweza kuipa matokeo yenye mwendelezo, timu bado haina kocha mkuu, yaani kiufupi timu bado inajitafuta.
Tuache hizi lawama, tufanye usajili mzuri na matokeo yataonekana uwanja. Tuna timu mbovu sana ukilinganisha na wenzetu
Kama hatuwezi kushinda mechi zetu, kama hatuwezi kuzifunga timu ambazo tunapambana nazo kuwania ubingwa basi tutaendelea kuusikia huu ubingwa ukielekea utopoloni na hizi lawama zetu wala hazitatusaidia kitu chochote
Unajua point ambazo tumekusanya caf ndio zinatufanya tupo makundi na sio performance ya timu Kwa Sasa Kwa sababu Kwa kuwa na point nyingi caf tunapata favourable draw kwny hatua yamtoano. FA bado haijaanza na ligi ndio ivo tayari tushaanza kupigwa gape na bila kusahau community shield tulipoteza Kwa mara ya pili mfululizo Kwa timu ileile ambayo Leo tunaishutumu kununua mechi..Matatizoo n km yapi labdaa maana ligi ya mabigwa tupo,kwenye ligi hakuna tulichopoteza bd,FA bado tupo,timu inapambana sanaa semaa nivilee umekalishaa tako lako hapo unabwabwajaaa ilaa nakwambiajee smba bd n timu nzuri na ipo ktk ushindan wa aina zt ,kuchezaa leo vby na kuchezaa kesho vrz n sehemu ya mchezoo,,,C kila cku ni Cku nzuri kazini ,
Sent using Jamii Forums mobile app
SureHivyo hiyo ndio sababu ya kuwa na timu mbaya...????
Result oriented mind ya mashabiki wa hizi timu inatofanya tukose hata akili za kufikiri....
Kinyesi fc , nahisi bado unatembea na mzigo wa kinyesi matakoni na kwenye pichu ndo Maana unamkumbuka Yusuf Manji mla ungaWanakuja wala maunga fc
Hakuna kitu kama hicho timu yenu mbovu ni kweli mlikua bora miaka minne nyuma ila sio sasa hivi wachezaji waliowapa heshima wengi umri umeenda viwango vimeshuka na kwa miaka miwili mfululizo kwa asilimia kubwa mmefanya usajiri wa ovyo na nakuhakikishia nbc premier league safari hii hamuingii top 2.. piga screen shot hii comment yangu tukutane ligi ikiisha