Wasiojuaa mpiraa ,wenyee mihemko wa Simba na yanga na mashabiki maandazii ndio wanazungumziaa bahashaa kwa hao wasimbaa ,ilaa mm mwana cmbaa ninayejua mpira sionii bahashaa yyt yangaa wanaitoaa maana kilaa timu inayoshiriki ligi inataka kuchukuaa ubingwaa kwann wafelishe mipango yao yakutwaa ubingwaa kisa milion 10 au 20n ujinga...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba pts za Yanga kule dhidi ya Geita ilikua halali? Utakua una matatizo. Kama Yanga ni bora ipate kweli kwa kuonesha uwezo halali na siyo janja ya bahasha( tiGO pesa, maneno ya mashabiki wao wenyewe)