mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Huku siku hizi mpaka wapumbavu mnajiona great thinkersKila mtu anajua kuwa Mmii mwarabu feki ni shabiki wa kutupwa wa Mnyama Simba S.C na Hilo nimelithibitisha Kwa nyuzi zangu nyingi humu jamvin...
Ni Wivu tu[emoji23][emoji23][emoji23]Huku siku hizi mpaka wapumbavu mnajiona great thinkers
Form two aliyefeli anataka form six ajifunze kwake.
Yanga klabu bingwa iliwashinda Simba akabaki Hadi robo fainali, leo Unataka Simba ajifunze kwa aliyefeli.
HATUJIFUNZI KWA WALIOFELI NA KIPAUMBELE CHETU SI KOMBE HILO LA WALIOFELI.
Simba Ni timu ya MALENGO makubwa.
Chungu lakini ni dawa [emoji847]Huku siku hizi mpaka wapumbavu mnajiona great thinkers
Form two aliyefeli anataka form six ajifunze kwake.
Yanga klabu bingwa iliwashinda Simba akabaki Hadi robo fainali, leo Unataka Simba ajifunze kwa aliyefeli.
HATUJIFUNZI KWA WALIOFELI NA KIPAUMBELE CHETU SI KOMBE HILO LA WALIOFELI.
Simba Ni timu ya MALENGO makubwa.
Mwaka jana mlikua kwenye kikombe cha waliofeli. Je mlifika wapi mkuu?? Acheni wivu kwenye uhalisia muwe wawazi tu kama yanga wamepiga hatua moja mbele kutoka mlipoishia.Huku siku hizi mpaka wapumbavu mnajiona great thinkers
Form two aliyefeli anataka form six ajifunze kwake.
Yanga klabu bingwa iliwashinda Simba akabaki Hadi robo fainali, leo Unataka Simba ajifunze kwa aliyefeli.
HATUJIFUNZI KWA WALIOFELI NA KIPAUMBELE CHETU SI KOMBE HILO LA WALIOFELI.
Simba Ni timu ya MALENGO makubwa.
Kumbuka pamoja na kuroga timu yetu ya Simba ilishindwa kuvuka hii hatua Mwaka Jana, tukaondoshwa na Orlando pirates, tuache WivuSiwezi kujifunza kwa aliyekwama, tusifundishane ujinga tafadhali.
Form two wa halali ni bora kuliko form six wa jina la kununua.Huku siku hizi mpaka wapumbavu mnajiona great thinkers
Form two aliyefeli anataka form six ajifunze kwake.
Yanga klabu bingwa iliwashinda Simba akabaki Hadi robo fainali, leo Unataka Simba ajifunze kwa aliyefeli.
HATUJIFUNZI KWA WALIOFELI NA KIPAUMBELE CHETU SI KOMBE HILO LA WALIOFELI.
Simba Ni timu ya MALENGO makubwa.