ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,362
- 2,991
Yaani we bibi hadi hizi maneno unaongeaga, hamna mtu hapa."Kukopa harusi kulipa matanga".
Watanzania mpaka wameminywa p ndiyo wanajuwa kulipa. Shenzi taipu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani we bibi hadi hizi maneno unaongeaga, hamna mtu hapa."Kukopa harusi kulipa matanga".
Watanzania mpaka wameminywa p ndiyo wanajuwa kulipa. Shenzi taipu.
[emoji1][emoji1][emoji1]Yaani we bibi hadi hizi maneno unaongeaga, hamna mtu hapa.
Mo hela yote kaiweka kwenye juice tusubiri arudishe faidaNataka kusema kuwa,je hiyo kesi ilianza kabla ya kutolewa hiyo fedha nusu? Na kama ilikuwa walipe hiyo fedha watakayo lipwa wao, kwa nini washindwe hili shauri? Kwa mujibu wa barua yao, sikuona kama walistahili kushindwa na kupewa adhabu. Wasiwasi wangu, hatujaambiwa ukweli .
Haiwezekani, hukumu itoke siku saba toka walipwe. Utajiuliza, walishtakiwa lini? Inawezekana walilipwa siku nyingi sio hiyo 2/10/2023
Mkuu, acha kumkosea heshima Mo! Sina shaka, wa kulaumiwa ni Bodi, wakiongozwa na Try Again. Hawakutimiza wajibu wao!Mo hela yote kaiweka kwenye juice tusubiri arudishe faida
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Simba full janja janja mkuuNataka kusema kuwa,je hiyo kesi ilianza kabla ya kutolewa hiyo fedha nusu? Na kama ilikuwa walipe hiyo fedha watakayo lipwa wao, kwa nini washindwe hili shauri? Kwa mujibu wa barua yao, sikuona kama walistahili kushindwa na kupewa adhabu. Wasiwasi wangu, hatujaambiwa ukweli .
Haiwezekani, hukumu itoke siku saba toka walipwe. Utajiuliza, walishtakiwa lini? Inawezekana walilipwa siku nyingi sio hiyo 2/10/2023
Kwa wajanja wale ,waache kuizungusha?Kimsingi simba walitakiwa kulipa walivyopokea malipo kama walilipwa 50% na wao walitakiwa kulipa angalao 7.5%
Dawa ya demi kulipaMuda mfupi baada ya kutangazwa kwa uamuzi wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) kuifungua Simba SC kusajili mpaka itakapolipa madai ya klabu ya Teungueth ya Senegal kuhusu Mchezaji Pape Ousmane Sakho, klabu ya
Nakumbuka hii kitu.Boban alipata kurukwa na akili kwenye maIshi huko DRCHawa jamaa walipiga rambirambi za Mafisango sembuse pesa ya usajili.
Mo atuachie timu hatuna mwelekeo kabisaMkuu, acha kumkosea heshima Mo! Sina shaka, wa kulaumiwa ni Bodi, wakiongozwa na Try Again. Hawakutimiza wajibu wao!
Huyo ndio Jaribu Tena. Wakijua jamaa wamesahau. Isije ikawa walikula wakijua wasenegali wamesahau.Wajinga wanaendesha club kipuuzi sana
Sasa kama ulikua unajua kua inatakiwa kuwalipa Hawa wasenegal 15% ya mauzo, ulipopokea pesa ya kwanza kwanini ulikaa kimya...
Eti hapakua na mawasiliano
Pathetic excuse
Wangewapa basi hata 7.7 %Wajinga wanaendesha club kipuuzi sana
Sasa kama ulikua unajua kua inatakiwa kuwalipa Hawa wasenegal 15% ya mauzo, ulipopokea pesa ya kwanza kwanini ulikaa kimya...
Eti hapakua na mawasiliano
Pathetic excuse