Simba tulieni! Mipango mingi ya ushidni ilikuwa inafeli kwa sababu ya Barbara, sasa Yanga kukiona

Mimi ni MwanaMsimbazi lakini katika hili najivua siko pamoja na mleta uzi
 
Kama nakuelewa sana.Ninaamini utopolo wataadabishwa sasa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
binafsi yangu ningekuwa yule Medical Office huyo B nisingemuacha na mapenzi na kazi haviendani kimoja lazima kifeli.
 
Umeongea point sana wakeshe wakiomba ili makonda arudi Tena amuondos GSM kwa zengwe hio pona ya Simba

Simba miaka 4 inachukua kombe mfululizo ni kwa sababu makonda alihakikisha yanga haipati muwekezaji a.k.a sponsor
 
Uandishi hovyo kabisa...
Huu ndio upeo wa fan base ya tz..
Unapima maendeleo ya club kwa kwa kumfunga MTANI..???
 
Mleta uzi ni YANGA ..
Hakuna kitu wanatamani kama hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…