Inawezekana sababu ni wazi wanatuzidi mbali.Aíbu yao wenyewe ikiwezekana mechi ijayo wapigwe tena nyińgi
Jamaa anazani football ni netball.. mshamba kweli.Mkuu, unataka magoli yawe yanafungwa kwa staili ya kisigino kila wakati ndio uhalalishe kuwa sio bahati? Mbona akina Messi na Ronaldo wanafunga mabao kwa staili tofauti zinazobadilika kutokana na jinsi walivyopokea pasi? Nao wakifunga mabao makali wanakuwa wamebahatisha? Yaani nashindwa kupata your point kukomalia goli la Chama
FACT..Exactly benchi la ufundi. Kufungwa siyo tatizo ila kufungwa tano ni uzembe wa kocha, unaenda Alexandria ukiwa unaujua vizuri uwezo wa timu yetu na unaujua vizuri uwezo wa Al ahly, then unaenda kuattack, unamuqnzishq rashid juma( ambaye alikuwa anapoteza mipira mingi kwa sbabu ya kukosa uzoefu) badala ya kumuanzisha hata mzamiru asaidie kwenye kuzuia. Ningemuelewa sana kama gemu ya dar ndiyo acheze attack gem lakin siyo ile gem.
Pia kocha msaidizi wa vital alisemq kwamba simba tunacheza sana pasi zisizo na maana hasa chama. Mara nyingi anapiga pasi za nyuma na fupi fupi. Kinchotkiwa na kupiga pasi za kwenda mbele ambazo ni zenye madhara jambo ambalo kocha anatakiwa kufanyia kazi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ligi yetu imegubikwa na mizengwe inayozitafuna timu zinazochukuwa ubingwa. timu zetu pia bado zinasajili wachezaji wanastahili kufanyiwa majaribio kwanza ndipo wasajiliwe, hii ni tofauti na ligi za wenzetu.simba imevuka hatu ya awali imeingia makundi wewe umekomalia wamebahatisha.
Haina ubishi 16 bora sio mzaha ni moto balaa mpaka uwe umejipanga kweli.
wale makirikiri waliomtoa yanga hatua ya awali utasema wana mpira mkubwa wa kuwasumbua yanga? Au ubovu wa timu zetu
ngaja urudiane na soura huko kwao algeria ndio tutajua ulibahatisha au uliwafunga kwa uwezo...
mechi za marudiano ndizo zitaeleza kama simba ni kikosi kipana au kikosi chembamba
Js Soura kufungwa sio ajabu ajabu itakuwa kufungwa 5-0 na kila timuNakubali kwenye mpira kuna bahati ila sio ya kutilia maanani kwamba bahati itakuvusha.
....Je Kuwafunga Js Soura napo tulibahatisha??..
.... Yote kwa Yote mpira hauendeshwi kwa bahati ndio maana watu wanaweka Pesa zao kwenye mpira sio bahati
Kila timu?.. soura yuko kundi letu unaposema kila timu ni unazi tu, sema 10-0Js Soura kufungwa sio ajabu ajabu itakuwa kufungwa 5-0 na kila timu
Kweli ligi yetu mbovu... ila hata timu zetu zengwe tupu usajili.Mkuu ligi yetu imegubikwa na mizengwe inayozitafuna timu zinazochukuwa ubingwa. timu zetu pia bado zinasajili wachezaji wanastahili kufanyiwa majaribio kwanza ndipo wasajiliwe, hii ni tofauti na ligi za wenzetu.
Hivi ni mchezaji yupi pale Al-Ahaly akija leo Simba atahitaji kufanyiwa majaribio kwanza ili asajiliwe? Simba na Yanga wamejaza wachezaji wa kigeni waliofanyiwa majaribio kwanza ili waone uzuri wao kabla ya kusajiliwaKweli ligi yetu mbovu... ila hata timu zetu zengwe tupu usajili.
kwa vipigo hv tujifunze soka sio segere.
Kama hivyo mtafuteni MourinhoSimba haijabahatisha...sema falsafa za kocha ndio zinazotutesa,timu inakua inacheza open football bila kujua Aina gani ya timu inayokabililiana nayo na uwanja upi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan Simba si ameshinda Nyumbani na atashinda nyumbani...mpira wa kiafrica hauna ujuaji Sana kivilee ndomana Kama unaangalia Final nyingi za klabu bingwa au shirikisho kila timu unakutana inashinda nyumbani ila zinapishana kwenye aggregate tuu....kwenye makundi Cha Kwanza tunaangalia points Cha pili ndio GD, Approach ya mwalimu ilikua kutafuta point moja ugenini iyo tumefeli ndomana tumefungwa magoli Yale,ila katika knock out stage hatuwezi kwenda ugenini kutafuta point moja Bali utaenda kuzuia upate goli la ugenini,ili uje ushinde nyumbani Sasa kwaio hii Approach ya mwalimu kwake inawezekana ilikua nzuri kwani Kama tungeshinda dhidi ya As Vita tulikua tunafuzu Bali hakujua nature la soka la Africa,kwa kuthibitisha ilo angalia Al ahly walivyocheza na Js saoura kule Algeria walikua wakawaida kweli na cheki js saoura walivyokua kwao jinsi walivyocheza pia utaona Al Ahly wakija kwa mchina wiki ijayo watakavyocheza kwa nidhamu hauwezi kuamini Kama ndio wale waliotupga khamsa...hata Simba walivyocheza na JS saoura waoiupiga Mpira mwingi sana,ila ugenini tunazurulaKama hivyo mtafuteni Mourinho
Acha waendelee kula viganjaBahati (chance) ilitumika kuifikisha Simba hatua ya makundi kwenye mashindano yanayoendelea ya CAF. Kubahatisha huku ni dhahiri kutokana na idadi kubwa mfululizo ya magoli inayofungwa na ndugu zake wanaoshiriki kwenye hatua hiyo. Kufungwa sio ajabu kwenye mashindano lakini kufungwa magoli 5 kwa 0 na timu mbili tofauti kunaonyesha kuwa hizo timu sio rika lako bali, umejichomeka tu by chance. Mfano, goli alilofunga Chama kwenye mechi na Nkana lililo ivusha Simba ni la kubahatisha tu na hawezi kufunga tena goli la style ile milele.
TFF inahusika na aibu hii, lazima iingalie ligi yake vizuri kwakuangalia na kusimamia waamuzi, ratiba, makocha, usajili, viwanja na kanuni zinazoendesha soka nchini ili zitoe washindi watakaoweza kwenda kushindana huko mbele ya safari.
Timu inaweza kushindwa Kwa 1-0, 2-1, 3-2 au hata 5-3 au 5-4 lakini sio 5-0 mara mbili na timu mbili tofauti kwenye mashindano husika.
Hii sio aibu kwa Simba tu bali ni aibu pia Kwa TFF, mdhamini wa Simba na Tanzania yote. Hii pia inashusha hata haiba ya bidhaa za mo (mdhamini) kwenye soko
Ikitokea hiv mwenyekiti wa TFF, Simba, kocha lazima wajiuzulu kwa kupeleka timu mbovu (5-0 x 2) kwenye mashindano.
Timu kufungwa goli 5 ndani ya dakika 30 za mwanzoni mwa mchezo ni kuonyesha kuwa timu hiyo iko pahala ambapo sipo. Haikustahili kuingia hatua hiyo ya mashindano.Soura hawawezi kuwafunga simba hata kwao,tatizo simba kwa hizo timu nyingine hawajajiamini wakapigwa wamesimama
Sent using Jamii Forums mobile app